Hahaha sijafumaniwa.Naisemea vizuri bwana mmeng'aji
Jana hujafumaniwa?
Hahaha sijafumaniwa.Naisemea vizuri bwana mmeng'aji
Jana hujafumaniwa?
Waombolezaji kutoka Anfield na Stamford bridge mbona mnakosa utulivu,chai ipo ya kutosha na vitafunwa pia msigombanie. Waombolezaji kutoka OT mnakumbushwa kumpelekea uji mfiwa Aaron Arsenal aliyezimia toka jana,hali yake sio nzuri. |
AiseeeeBao pekee tutakalolipata kwenye mechi yetu ya leo
Si jingine bali ni BAO LA KETE
Kwa Mujibu wa bwana mmoja mshabiki wa Arsenali alisema eti baada ya mechi kumi Chelsea akiwa top four atakuwa bingwa ,naona sasa anapata aibu kweli kweli ,tisikitike kidogo naomba nimuite alipo mzee baba Aaroon ....
Patrice Evra labels Arsenal 'weak' and 'babies' following Sheffield United defeatTuna bonge la timu ila kocha KILAZA anatufanya tunaingia kazini kinyonge.
HahahahahahahahahNamba yake anacheza.sakaya sijui sakayo sijui sakasaka daaaa![]()
Kufukuzwa kwa huyo kocha kunanihusu nini ee tulia usiku umepewa cha nguruwe ugulia maumivusi bishana na wala ugoro we boyaa. swala ni muda tu mpaka unai ang'olewe

Mkuu Patel yule akili yake imejaa ugoro na tambuu yani haeleweki nini anachotaka.....
Tatizo Patel anataka kumuiga Lampard kuchezesha vijana wadogo, wakati madogo wa Arsenal hawana uwezo mkubwa.
Kwa kikosi cha Arsenal OZIL ilikuwa lazima achezeshwe kulingana na uzoefu na kipaji chake kikubwa. Uwepo wake haukwepeki kwa sasa.
Ujio wa PEPE kocha asingemuanzisha moja kwa moja angemuweka kwanza bench PEPE apate muda wa kuisoma epl jinsi ilivyo, angeanza kama sub baadae ndio angeingia 1st Eleven.
Lakini kitendo cha kuingia moja kwa moja 1st eleven kwenye ligi ngeni na ngumu imepata presha na anashindwa kucopy haraka kulingana na kila timu pinzani anayokutana nayo inauchezaji tofauti na ngeni kwake.
EMERY aache ujinga OZIL 1st eleven, pepe benchi apewe muda wa kuisoma ligi
Unamzungumzia Rashford yupi? Wa Manchester United? Aliyeshinda tuzo ya goli la mwezi september? Tena goli la penati? Kwakua timu nzima hakuna aliyescore huo mwezi?€79 million (£72 million), ...
bado mna ipa mda..ata rashford wetu awezi fanya uu ujingaView attachment 1240691
Agent: Utapewa adhabu ya kuuzwa Chelsea.PEPE:- Helloo Agent habari za Asubuhi naomba kukuuliza ilikuwaje ukaniuza Arsenal? Umeniletea aibu kweli, umenileta ligi ngumu kipaji changu kimekuwa kidogo.
Naonekana kichekesho, mapepe, kitenesi nakosa magoli ya wazi, napiga shuti la mtoto, mpaka sasa na goal 1 tena la penati.
Agent niambie nikitaka kutoroka Arsenal adhabu gani nitapewa?