Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tayariii
Screenshot_20191021-223047_All%20Goals.jpeg
 
Nilipoona kikosi tu OZIL hayumo nilijua hili ni tatizo hawa watoto wanacheza Direct football ile ya ki British kabisa kama huna playmaker wa kuwafungua wanalala na wewe.
 
Huu uzi mbona umepoa sana? Kila kukikucha mpo kwenye uzi wetu tu hadi nyumbani kwenu kunaotea nyasi.
 
kola hajuii kumchezesha yule saka, katikati mav matupu ni mamipira ya juuu tu.....in short mpira mbovu sana hakuna connection za kueleweka.

emery out kwa kwel
 
Next three Fixtures Crystal palace Wolves na Leicester city
Kumbuka Msimu uliopita mechi hizi za mwisho tulipigwa na hawa wote na kwa mpira huu tunaocheza NARUDIA HUU TUNAOUCHEZA HUKU MASHABIKI TUNAPAMBANA PU**** mazee msitegemee jipya kabisa kabisa
 
Back
Top Bottom