joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,856
- 39,564
Mpira mbovu hata pasi 5 tunashindwa kufikisha.
Hahahah mtu wako wa nguvuBila kumsahau Matteo Guendouzi









Hatuna kocha"
Hahahahahahahahah Mzee wa msimamo wa ligi
Kale ka droo ulikokapata jana naona kamekupa jeuri sasa una tembea kila jukwaa tu.Kwani kuna nini humu,
Leo zigo la lawama sijui atapewa Unai au jezi za njano