Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa mpira anaocheza arsenal huu sioni kama timu yangu manchester united tunaweza kupata hata droo kiungo kipo safi sana

Usajili wa pepe ni mzur sana
Hahahahahahahahah Wewe jamaa una wakati mgumu sana hivi sasa.
 
Kudraw na Spurs ni tofauti na Kudraw Sheffield United
Ukinipa majibu ya haya maswali kwa ufasaha utarudisha yako na kuwaona hao unawabeba hawabebeki.

Nitajie timu ya mwisho kutoka London kuchukua FA cup

Nitajie timu ya mwisho kutoka London kuchukua EPL

Nitajie timu ya mwisho kutoka London kuchukua Europa Cup

Nitajie timu ya mwisho kutoka London kuchukua UEFA

Nitajie timu ya mwisho kutoka London kuchukua Super Cup.

Au kama ukipenda majibu baki nayo atakusaidia kujibu Aroon na wadogo zake. Arsenal wanakingiwa kifua lakini hawawezi hata siku moja kuifikia The Pride Of London.
 
Back
Top Bottom