Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Mwanangu hata hamu ya kummega demu unayo kweli??Mwenzenu naenda kutafuta dem nimege. Na kuna mmoja anaelekea kibla. Mkisikia kuna njemba imefumaniwa uchochoroni ni mimi huyo



Mwanangu hata hamu ya kummega demu unayo kweli??Mwenzenu naenda kutafuta dem nimege. Na kuna mmoja anaelekea kibla. Mkisikia kuna njemba imefumaniwa uchochoroni ni mimi huyo



Nilichogundua, tatizo ni jina la United
Arsenane analiogopa sana jina la United![]()








Walizani kuna zile nane tenaNilichogundua, tatizo ni jina la United
Arsenane analiogopa sana jina la United![]()




Haahaaa wamepigwa mkuuWakuu kwani leo Auba ajacheza
Pepe pound mil 80 kapiga Shot on target ngap
Hivi Laccazete na Rashford nan anamkimbiza mwenzie![]()
Baba ni nina hasira hapa. Maana ndugu Pepe kakosa goli yeye na kipa akaja andazi mwingine badala ya kuscore eti akajidondosha yaani kama vile Tammy na Rashford wameloga forward yote icheze kama wao.Mwanangu hata hamu ya kummega demu unayo kweli??![]()
Piga mbuzi haoBaba ni nina hasira hapa. Maana ndugu Pepe kakosa goli yeye na kipa akaja andazi mwingine badala ya kuscore eti akajidondosha yaani kama vile Tammy na Rashford wameloga forward yote icheze kama wao.
Hizi hasira zinaenda kumaliziwa kichochoroni. Hawa Man U na Chelsea nitakutana nao kesho nikiwa mwepesiiiiiii.



Hahahaha mi nilivyoona kikosi tu nikaja kutema nyongo juu ya kocha. Baada ya gemu kuanza nikashtua nyongo tena kidogo, ilavyoisha nimerudi kumalizia kutema nyongo naona haiishi. Kwahiyo muda huu nipo uchochoroni tafadhali tutaonana baadaye.Piga mbuzi hao![]()
Ndugu zangu huyu Pepe kuna goli amekosa first half,hapana huyu tumepigwa kwa kweli
Mwenzenu naenda kutafuta dem nimege. Na kuna mmoja anaelekea kibla. Mkisikia kuna njemba imefumaniwa uchochoroni ni mimi huyo
Pepe ni Iwobi asiye na rasta. Imeisha hiyooo
Kuna wapuuz watakuja kumteteaMm wala siumii tena, najua hali ndio hio chini ya Unai
acha kumfananisha tammy na mitumbaBaba ni nina hasira hapa. Maana ndugu Pepe kakosa goli yeye na kipa akaja andazi mwingine badala ya kuscore eti akajidondosha yaani kama vile Tammy na Rashford wameloga forward yote icheze kama wao.
Hizi hasira zinaenda kumaliziwa kichochoroni. Hawa Man U na Chelsea nitakutana nao kesho nikiwa mwepesiiiiiii.