Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mwanangu hata hamu ya kummega demu unayo kweli??
Baba ni nina hasira hapa. Maana ndugu Pepe kakosa goli yeye na kipa akaja andazi mwingine badala ya kuscore eti akajidondosha yaani kama vile Tammy na Rashford wameloga forward yote icheze kama wao.

Hizi hasira zinaenda kumaliziwa kichochoroni. Hawa Man U na Chelsea nitakutana nao kesho nikiwa mwepesiiiiiii.
 
Kwahiyo tunaanza maisha ya kingese ya kuombea watu wafungwe ili timu ipande? Manina walahi.
 
Baba ni nina hasira hapa. Maana ndugu Pepe kakosa goli yeye na kipa akaja andazi mwingine badala ya kuscore eti akajidondosha yaani kama vile Tammy na Rashford wameloga forward yote icheze kama wao.

Hizi hasira zinaenda kumaliziwa kichochoroni. Hawa Man U na Chelsea nitakutana nao kesho nikiwa mwepesiiiiiii.
Piga mbuzi hao
 
Mesut Özil told Unai Emery in Baku:

“You are not a coach”

5 months later:

Fans come together with #UnaiOut

Mesut Ozil, he’s done it again...
 
Piga mbuzi hao
Hahahaha mi nilivyoona kikosi tu nikaja kutema nyongo juu ya kocha. Baada ya gemu kuanza nikashtua nyongo tena kidogo, ilavyoisha nimerudi kumalizia kutema nyongo naona haiishi. Kwahiyo muda huu nipo uchochoroni tafadhali tutaonana baadaye.
 
Amid all the recriminations and frustrations, Edu has just spent a good 15 minutes posing for pictures with fans and engaging with supporters. Spent so long in their company Arsenal staff were having to whisk him onto the bus so team could leave.
 
Baba ni nina hasira hapa. Maana ndugu Pepe kakosa goli yeye na kipa akaja andazi mwingine badala ya kuscore eti akajidondosha yaani kama vile Tammy na Rashford wameloga forward yote icheze kama wao.

Hizi hasira zinaenda kumaliziwa kichochoroni. Hawa Man U na Chelsea nitakutana nao kesho nikiwa mwepesiiiiiii.
acha kumfananisha tammy na mitumba
 
Back
Top Bottom