Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
what a goal by Nasri.
Hivi Walcot bado tu majeruhi?
Na huyu Wil asijepigwa red kama juzi!
jamaa mjinga kacheza rafu ya kijinga lol,kampiga roba djouro.
fabregas kaweka la tatu
Vibonde wakikutana na mgonjwa wanaonyesha ufundi wao!
Vibonde wakikutana na mgonjwa wanaonyesha ufundi wao!
4 sasa mkuu walcot anakuja kupasha misuli moto na yeye....eeeh, kuna mdondo hapa, Tatu bila ama?
Duh watani naona mnatoa statement hehehe....Hii mechi ya Real na Ac Milan imeniboa nimehamia ya kwenu.
Ngoma iko weekend