Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
Enjoy mpira huo wewe unapatikana Arsenal tu.
Yeah ndo maana inaitwa ArseNIL no trophy hapo! I am missing Drogba kwenye hii mechi.....!
Enjoy mpira huo wewe unapatikana Arsenal tu.
Yeah ndo maana inaitwa ArseNIL no trophy hapo! I am missing Drogba kwenye hii mechi.....!
kama nyie mlivyo kutana na aston villa mkaonesha ufundi wenu.
Wewe ulikaa miaka mingapi bila kombe? au kwa vile kipindi cha ukame ulikuwa hupo Aston villa ndio ujiweki kwenye kundi la ukame la kipindi kile?
Safi Eduardo 5-1.tutaendelea kukumbuka na kukushangilia popote uendapo.
Safi Eduardo 5-1.tutaendelea kukumbuka na kukushangilia popote uendapo.
Sasa facts mara nyingi si zinakuwa backed up na history ama?Mazee kwenye masomo yangu nilifail History! jaribu kuongea facts
Mazee kwenye masomo yangu nilifail History! jaribu kuongea facts
Mkuu acha unafiki ! inakutoka moyoni kweli ama wapiga usanii wa KICCM?
Sasa facts mara nyingi si zinakuwa backed up na history ama?
facts ni kwamba mlipo chukua league title 1954/55 mlikaa mpaka 2004/05 ndio mkachukua tena piga hesabu miaka mingapi hio,FA cup mlipochukua mwaka 2000 mkaja kuchukua tena 2007 angalia miaka mingapi hapo. ndio maana nakwambia wakati huo ulikuwa Aston villa.
Unabahati sana wewe kwa kuwa ni jamaa yangu! ningeandika neno moja tu CRAP, hahahahahahah ila shida yenu mtaona mumeishakuwa mabingwa msisahau kuna the likes of Barca, Madrid, Bayen, Man utd timu yenu bado ina utoto sana
alamsiki hongereni kwa ushindi wa kishindo lol
Kibs huwa anachungulia tu hatoi comentsNimemwona Kibunango hahahahahahahahah
Hongereni washabiki wenzangu sasa tumechukua pints za kutosha kwenye mechi za marudiano tunaweza kuwapumzisha wachezaji wengine.