Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
naona chamakh ka-dive ,kaanza kuanguka kabla ya contact but it happens.will take 1-1.
naona chamakh ka-dive ,kaanza kuanguka kabla ya contact but it happens.will take 1-1.
Tulitakiwa tuwe kama 5 - 0 Berbatov kakosa nafasi kadhaa za wazi. Nachungulia kupitia kwenye hii thread yenu.
Jamaa wamerudisha kudadeki. 2-2.kuna mshabiki wenu kaniambia hayo hayo amesema ilitakiwa hiwe 5 lol
Ebwana nimemvulia kofia Ferguson kwa kumpiga bench rooney,safi sana kama Wenger angekuwa na moyo kama huo hawa watoto wangeshanyooka zamani sana.
Jamaa wamerudisha kudadeki. 2-2.
Dogo Wilshere anapiga game sana.
Draw nyingine tumepata ***** timu yangu, makosa ya kipuuzi puuzi. Ubingwa mwaka huu tusahau.nahofia draw hapa leo inaweza kutukuta manake tume lala sana.
Draw nyingine tumepata ***** timu yangu, makosa ya kipuuzi puuzi. Ubingwa mwaka huu tusahau.
Pole mkuu....maanafrom 2-0 t 2-2 inauma kweli...vipi simba na yangaDraw nyingine tumepata ***** timu yangu, makosa ya kipuuzi puuzi. Ubingwa mwaka huu tusahau.