Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Majiraniiiiiii......katumia dk 28 tu kunyonyoa mtu 3. Siongez neno.
20190505_221353_rmscr-1.jpeg
 
Mkuu emery ndio msimu wake wa kwanza, hebu muache kama madirisha matatu ajenge timu ,tutamjaji,

Klopp msimu wa kwanza hata top 4 alikuwa hagombei. ,mm kwangu unai ka jitahid sana, ila amekosa wachezaji wakumsaidia, ndio maana anahitaji madirisha karibu matatu, atengeneze jeshi lake litakalomtii
Kwani Sarri huu msimu wake wangapi vile..??
 
Kwa mahesabu ya fasta fasta niny mulidai muna fixture nyepesi. .ivyo mungetembea na nafas ya tatu kiulaiiini ...

Ila sisi bench la ufundi tulijua maji yangezidi unga tu ...

Ninyi kubalini kukipiga Europa msimu ujao kuliko kukosa yote..
 
Back
Top Bottom