The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,429
Majiraniiiiiii......katumia dk 28 tu kunyonyoa mtu 3. Siongez neno.
Safi sana mkuu endelea kuwapa updateSion mlango mtakaopitiaView attachment 1089195











Kwani Sarri huu msimu wake wangapi vile..??Mkuu emery ndio msimu wake wa kwanza, hebu muache kama madirisha matatu ajenge timu ,tutamjaji,
Klopp msimu wa kwanza hata top 4 alikuwa hagombei. ,mm kwangu unai ka jitahid sana, ila amekosa wachezaji wakumsaidia, ndio maana anahitaji madirisha karibu matatu, atengeneze jeshi lake litakalomtii
Asante babaa ..sisi arsenal pale Valencia tutachezea goli tatu mkuu..Sion mlango mtakaopitiaView attachment 1089195
Sasa wewe unajivunia nini ?umepigwa final na Man city na mpaka sasa hauna medalKwani Sarri huu msimu wake wangapi vile..??


tena mchana kweupe
Asante babaa ..sisi arsenal pale Valencia tutachezea goli tatu mkuu..
Mimi nmeingia fainali ..wewe huingii hata moja. Huoni tofauti ya Chelsea na Arsenal?Sasa wewe unajivunia nini ?umepigwa final na Man city na mpaka sasa hauna medal
Kwakweli pale hatutoki aisetena mchana kweupe




Halafu ukapigwa konzi gumuMimi nmeingia fainali ..wewe huingii hata moja. Huoni tofauti ya Chelsea na Arsenal?




Dah nimeamini mkuuUmeamini maneno yangu,
Mzee waga unabet nn, huwe unanipa na mimi tips labda twaweza kumla kanjiUmeamini maneno yangu,