Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tuache utan jaman tuongee ukwel hv arsenal hii ilikuwa na ndoto za kuingia top4 ... Hata unai analijua hili kuwa anajenga kikos cha ushindan mwakan nashangaa fans wa arsenal mnavyoumia wakat ukwel mnaujua hamna timu ya ushnan
Mkuu hata kocha hatuna. Kila game anabadili wachezaji wa mpira.
 
Tuache utan jaman tuongee ukwel hv arsenal hii ilikuwa na ndoto za kuingia top4 ... Hata unai analijua hili kuwa anajenga kikos cha ushindan mwakan nashangaa fans wa arsenal mnavyoumia wakat ukwel mnaujua hamna timu ya ushnan
Wewe sio mwana Arsenal kabisa hii inauma kik***** yaani tumepatwa na Nyeg***** mechi 5 za mwisho Unai sio kocha xhaka ni ms**** ndo basi tena yaani dah imeniuma sana hata Europa league hatutabeba tuanze upya wamiliki pesa hawataki kutoa za kusajili nawalaumu sana Henry Wright na Adams kwa kunifanya niipende hii timu nawalaumu sana
 
mabingwa wa europa kwa hisani ya Aaron nawasalimia tu sina Mengi
 
Back
Top Bottom