Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe jamaa Leo unakuja kupayuka humu, haya muda wako huu
Hivi we hujionagi unavyo payuka.? Kila jukwaa lako. Yan ni kama mtoto wa Tandale mitaa yote unajulikana.

Leo unaniambia mi napayuka. Sema tu unaumia na zile prediction zenu mkituweka Chelsea nafasi ya tano halafu nyie mnajiweka nafasi ya tatu. Daah kweli maisha ni kama GWARIDE.
 
Hivi we hujionagi unavyo payuka.? Kila jukwaa lako. Yan ni kama mtoto wa Tandale mitaa yote unajulikana.

Leo unaniambia mi napayuka. Sema tu unaumia na zile prediction zenu mkituweka Chelsea nafasi ya tano halafu nyie mnajiweka nafasi ya tatu. Daah kweli maisha ni kama GWARIDE.
Hahaaa kwahiyo hutaki niongee, tatizo wewe unajihakikishia final wakat hao madogo hujamalizana nao
 
yametukuta ya MANU
Arsenal Bado mna nafasi kubwa mno kucheza UC league. Mkifunga Barnley magoli 9. Then Tottenham afungwe na Evaton.

Mnatakuwa na point 70 na magoli 29. So mtakuwa nafasi ya 4 kwa gol different. Na mtakuwa mmefuzu kucheza UC league.

Muwe wavumilivu. Bado mna nafasi msikate tamaaa
 
Arsenal Bado mna nafasi kubwa mno kucheza UC league. Mkifunga Barnley magoli 9. Then Tottenham afungwe na Evaton.

Mnatakuwa na point 70 na magoli 29. So mtakuwa nafasi ya 4 kwa gol different. Na mtakuwa mmefuzu kucheza UC league.

Muwe wavumilivu. Bado mna nafasi msikate tamaaa
Wala hatuna muda na EPL tena, nguvu zote EUROPA
 
Arsenal Bado mna nafasi kubwa mno kucheza UC league. Mkifunga Barnley magoli 9. Then Tottenham afungwe na Evaton.

Mnatakuwa na point 70 na magoli 29. So mtakuwa nafasi ya 4 kwa gol different. Na mtakuwa mmefuzu kucheza UC league.

Muwe wavumilivu. Bado mna nafasi msikate tamaaa
Wanacheza ugenini na Burnley halafu wawafunge magoli 9 huku akitegemea Tot afungwe na asifunge goli.

Hehee.. Kweli matumaini hata mimi nayaona.
 
Ollachuga.....
Ollachuga pita huku mkuu kunachekesha sana leo hahahahahahahahah
 
Hahahahahahahahahhahahahahahahahah Hahahahahahahahahhahahahahahahahah
 
Ukiwa na timu mbovu kuwa mpole tu sio kuropoka tu kila jukwaa Hahahahahahahahahhahahahahahahahah
 
Back
Top Bottom