Nayapokea matokeo kwa mikono miwili,ni haki ya mchezo,wenzetu walikua na hali mbaya toka ligi imeanza,halaf kukumbushia tu huu mchezo ulikua na pressjre kubwa kwa unai,maana alitamani avunje rekod ya Graham ya kucheza michezo 23 bila kupoteza,,wing wa majeruh kule nyuma ni tatzo, kuweka viungo watatu au xhaka kumbadil namba bado ni tatzo,
Arsenal fan tusivunjike moyo kwa kupiho cha jana japo kimetupotezea hesab kdgo,but all in all tutajipanga na mechi ijayo japo inaweza kua ngumu kuliko hii ya jana... In Unai we Trust.