Bora kumuanzisha Saka kuliko hiyo takataka ya Nigeria-Iwobi
Anaharibu move tu ya mpiraBora kumuanzisha Saka kuliko hiyo takataka ya Nigeria-Iwobi
️Kila la kheriMim ninavyoamin tunaenda kupindua matokeo, hasa ukizingatia nimetia mzigo kwenye hii match
The unbeaten run will end today. Southampton wanakumbukaga kucheza mpira vs Arsenal tu. Zikija timu nyingine wanakuwa kama wamemwagiwa maji ya baridi.
Tunafungwa magoli ya kizembe sana
Eti unbeaten run, kwa hiyo Man City na Chelsea mmefuta matokeo?