Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Koscienly ametoka majeraha unampa mechi ngumu kama hii kwa dakika 90 lazima mchakatwe. Leo arsenal walikuwa wanastahili kabisa kichapo. Wabovu kuanzia Beki, middle hadi huyo aubameyoung wao.

Jumapili njema, kipigo chema.
 
Kama unajua ndo mpira ndo uache kubwekabweka majukwaa ya watu. Sasa umenyamaza
Kaa kimya wewe, timu lako mwaka wa ngap huu linatoka kapa,

Malizana na manyua kwanza, had may utangaze ubingwa ndio tutawaelewa au mbebe hata FA cup tu, lasivyo NOTHING
 
Mabeki wasajiliwe sasa kwa dirisha dogo.
Three headers three goals, goli la pili la kucheza kwa kichwa kolsieny anataka kupiga kwa mguu. Beki mbovu, tena hawa first eleven wanarudi k8na kolsieny na monreal ndio ukuta unaanza kuonekana mbovu.
 
Kaa kimya wewe, timu lako mwaka wa ngap huu linatoka kapa,

Malizana na manyua kwanza, had may utangaze ubingwa ndio tutawaelewa au mbebe hata FA cup tu, lasivyo NOTHING
Mlijikuta mshawini life eenh ndo mpira huo baba.
 
Majeruhi ya mabeki hasa wa kati ndio tatizo

Nadhan hii itakuwa alert ,january tutaleta mabek wawil wa kati, kwa lazima

Next *BURNLEY* (Home)

Ndio mpira
Mkitobolewa ndio unaleta maneno ya ndio mpira 😅😅😅😅😅😅 wengine wakifungwa huwa sio mpira ni Chereko
 
Koscienly ametoka majeraha unampa mechi ngumu kama hii kwa dakika 90 lazima mchakatwe. Leo arsenal walikuwa wanastahili kabisa kichapo. Wabovu kuanzia Beki, middle hadi huyo aubameyoung wao.

Jumapili njema, kipigo chema.
Wazo la kumchezesha Guendouz, Torreira na Xhaka pamoja siliafiki, katika mechi zote zenye hao wote watatu kiungo hakijawahi kuwa stable.
 
Leo makosa ya mabeki yametukost. Pia kushindwa kusoma mechi na ku-take risk kwa kocha pia ndio sababu ya kufungwa. Ingekuwa enzi za Wenger angeona uwezekano wa kushinda ulikuwa mdogo badala ya kumwingiza Ozil angemwingiza defensive minded player kulinda point hasa ukizingatia tuna historia mbaya at St. Mary's. Anyway experience itamfundisha Emery viwanja gani vinakuwa vigumu kwa Arsenal.
 
Dah Beralin pancha, mustafi pancha, holding pancha, Kept na monreal bado hawana mechi fitness, tunaweza tukaumaliza mwaka vibaya yaani leo tumefungwa goli zote za aina moja. Ila sio mbaya naamini bado tuna nafasi ktk top four.
 
Wale madogo mliokua mnashinda kwenye jukwaa letu twendeni tena tukapige soga. Soton tu anawatenda hivi
 
Humu ndan wenyeji hawapo wakuu wameacha mlango waz kaz yao ilikuwa kupita majukwaa ya watu hawakujua kama wanajipiga ban wenyewe ha ha ha ha ha wamekalia tu oooh ss unbeaten Austin wa soton kawaprove wrong
 
Back
Top Bottom