Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Baada ya hizo game mbili ndo hajafungwa tena na wala haimaanishi unbeaten tokea msimu uanze

Basi muwe mnafafanua, unbeaten since when!

Maana ukisema tu unbeaten ukakaa kimya inajulikana ni toka mwanzo wa ligi, na tunajua ni timu moja tu ambayo ni unbeaten.
 
Basi muwe mnafafanua, unbeaten since when!

Maana ukisema tu unbeaten ukakaa kimya inajulikana ni toka mwanzo wa ligi, na tunajua ni timu moja tu ambayo ni unbeaten.

Sawa Mkuu

Hiyo unbeaten ya Arsenal ni kwenye mashindano yote anayoshiriki
 
Back
Top Bottom