Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tetesi-Mesut Özil kuuzwa kwa paundi milioni 25 tu

Mitandao mingi ya habari, ukiwamo wa Daily Mail imeandika ya kwamba Arsenal ipo tayari kumuuza kwa hasara kiungo huyo kwani wanaona ya kwamba mshahara anaopata kwa paundi 350,000 kwa wiki ni mkubwa mno kulinganisha na mchango wake kwenye timu na wanaona wanaweza kupata mbadala wake kwa nusu ya mshahara huo.

Ikumbukwe ya kwamba Mesut Özil hajaichezea Arsenal katika michezo mitano iliyopita kwa madai ya kwamba alikuwa na maumivu ya mgongo.

Taarifa hizo zinaendelea kudai ya kwamba Inter Milan ipo tayari kutoa dau hilo ili kumpata kiungo huyo na kwamba maongezi kati wa wakala wa Özil na timu hiyo yataanza wiki ijayo.

Mtazamo wangu
Kwa upande mmoja vigumu kuamini tetesi hizo kwani hawajasema ni wapi wamezitoa habari hizo, lakini kwa upande mwingine naona mwisho wa Mesut Özil ndani ya Arsenal unakaribia kwani amekuwa akikosa mechi nyingi kuanzia mwishoni mwa msimu uliopita na siamini kama uongozi mpya wa Arsenal utaweza kumvumilia.

Pia naamini ya kwamba litakuwa kosa kubwa sana kumuuza Mesut Özil bila ya kusajili mchezaji atakayeziba pengo lake kwani kwa sasa hakuna kiungo mshambuliaji wa kuaminika na mwenye uwezo wa kutengeneza nafasi kama yeye ndani ya kikosi hiki cha Arsenal.

Mfano mzuri ni katika mchezo wa jana ambapo mwalimu Unai Emery alilazimika kuwaanzisha viungo wakabaji watatu, pia Iwobi na Mkhi leo wanacheza vizuri kesho wanacheza chini ya kiwango, sio wa kuwaamini sana.View attachment 961456
Hakuna asiye mpenda Ozil ila ameonesha nidhamu mbovu mbele ya kocha na yy hawezi kuwa kichwa kuliko kocha.
Pepo lililomtoa timu ya taifa litamtoa pia gunners.
 
Naomba kuuliza hili swali kwa mashabiki kindaki ndaki wa Ozil jee akiondoka Leo hii kuna pengo mnaliona ataliacha???Jee mnahisi Ozil yupo kwny mipango ya Emery???nikimaanisha jee ni mchezaji muhim kwa Emery kama ilivyokuw kwa Wenger?
timu yenu ina support sana Ushoga ..Ozil ni Ostaz haezi fanya izo mambo.
 
Chama langu Soton lipo uwanjani leo tena nyumbani kabisa St. Mary’s nafikiri mnakijua kinachoenda kutokea
Mjiandae Kisaikolojia
 
leo inatakiwa tupate point 3 muhimu ili wale majogoo feki wakipunguzwa kasi na manure sisi tuzidi kupunguza gape la point,maana spurs sina shaka nao kabisaaaaaaaa
burnley wamefanya mambo ya ajabu sana jana ila still mapambano yanaendelea na naiamini timu kwa sasa hasa kurejea kwa le capitain pale nyuma
 
leo inatakiwa tupate point 3 muhimu ili wale majogoo feki wakipunguzwa kasi na manure sisi tuzidi kupunguza gape la point,maana spurs sina shaka nao kabisaaaaaaaa
burnley wamefanya mambo ya ajabu sana jana ila still mapambano yanaendelea na naiamini timu kwa sasa hasa kurejea kwa le capitain pale nyuma
Man United hana ubavu wa kumfunga liverpool.
 
Breakdown_Southampton_A.jpg
 
Team news: Mustafi, Sokratis, Smith Rowe
mustais.jpg

Ahead of Sunday’s Premier League game against Southampton, here's the latest team news update from our medical team, which also includes a disciplinary update:

Sokratis
Due to receiving his fifth domestic booking, receives a one-match suspension for Southampton (a) on Sunday, December 16.

Shkodran Mustafi
Due to receiving his fifth domestic booking, receives a one-match suspension for Southampton (a) on Sunday, December 16. Shkodran's hamstring is also being assessed ahead of Tottenham Hotspur (h) on Wednesday, December 19.

Emile Smith Rowe
Right hip. Expected to return to full training in December.

Rob Holding
Left knee. Successful anterior cruciate ligament repair surgery on Thursday.

Dinos Mavropanos
Groin injury. Expected to return to full training in December.

Danny Welbeck
Right ankle. Recovering after surgery.


Team train in the rain before facingSouthampton
UE-1123-151218.jpg

We're back in Premier League action on Sunday, when we travel to Southampton in the Premier League.The first-team squad continued their preparations for the game with a training session at London Colney on Saturday.
https://www.arsenal.com/sites/defau...775268951DP024_Arsenal_Trai.JPG?itok=IuaXuqH6


https://www.arsenal.com/sites/defau...775268951DP015_Arsenal_Trai.JPG?itok=7hqbr63i


https://www.arsenal.com/sites/defau...775268951DP016_Arsenal_Trai.JPG?itok=4fEVJi12
775268951DP024_Arsenal_Trai.JPG
 
Unai%20Emery_15.jpg

Unai%20Emery_15.jpg

Unai Emery was in expansive mood on Friday as he spoke to the media ahead of our Premier League clash against Southampton.
Our head coach discussed our 22-match unbeaten run, Laurent Koscielny's return and Lucas Torreira's adaption to the Premier League.
Read on for a transcript of Emery's interview:
on whether it’s surprised him how quick his team have adapted to his ideas…
I think we need more. I think our beginning is good, but at the moment in the table we are fifth and our mind is focused on being in the first four positions. I think we are doing our way and in one process improving, but the reality is that we need more.
on whether he thought the job would be harder…
I think first our ideas and work with the players is to learn together. All of us can give everybody new ideas. I think the players are open to listening to us about our new tactical work with our analysis in videos. We need to do this work quickly, but we also need patience. I think at the moment we are doing that with good results, but as I said to you, we need more. We are improving step by step - and I think the players are also showing very, very good commitment and behaviour every day.
on going 22 games unbeaten…
There is no secret. The only thing is the next match. We’ve used the last matches to help us improve through our analysis. We can improve things individually and collectively, and also tactically and some things with the mentality. There is no secret in our way. We think only about the next match and prepare with our focus being very clear that we can progress and we can improve in the next matches. This development with us is clear with the players. We don’t want to think about the past, the most important thing is the present and the near future.
on our clash against Southampton…
I think it’s a very big match like every match in the Premier League. Southampton have some very good players and a new coach who has good experience and good performances in Germany. On Sunday I think they are going to push against us a lot. We need to prepare very well for the match with a very big personality because we want to be consistent. Every challenge is to continue doing that and Sunday is a big challenge and a big match, and also we are looking forward to continuing our improvement and good moment knowing that it’s difficult.
on whether playing Southampton will be similar to Huddersfield…
I think each match is different because the idea is different, the players are different, they have a new coach… I think it’s different to play away rather than play at home. Every match gives us a struggle in terms of work and continuing in our way. Against Southampton on Sunday, it’s about preparing for a different match. We need to create a stronger identity and our personality is getting better in each game. We are playing games our way.
on having Mesut Ozil and Laurent Koscielny back…
It’s very important for us to have Laurent Koscielny back because he’s our captain, he has experience. He’s, for us, one important player in the group. Him coming back is very important for us because he’s been training with us for the past month. But we also need to start with him helping us on the pitch in the games, and it’s very important for us that he can play with us.
on whether Mesut Ozil will start on Sunday…
We’ll see tomorrow.
on how important rotation is over Christmas period…
For me, the most important thing is that every player can give us big performances. We want them to show that quality in every match. We are having this experience now because we have lots of matches with the Premier League, Europa League and the Carabao Cup. Every player has the habit and the capability to play a lot of matches in one week. The next period is going to be the same. We’re only going to think about one match and then when that finishes, we can think about another. We need to consider every player for each match.
on how impressed he’s been with how quickly Torreira’s adapted to the PL…
I think he has the quality and he also has our help. He’s very humble and this humbleness is good for every day, and helping him achieve both his individual objectives and those with the group. His performances have been good and, like every player, he is working with a very big commitment every day.
on simulation…
Our idea today is to recover from yesterday’s match and hope we’re ready for Sunday. Tomorrow’s training is very important for us in knowing how we can play against Southampton, and preparing for this match.
on the January transfer window…
The group is working for the possibility.









 
mpira hautabiriki mkuu ile ni derby na mwamuzi ni dk90
unasema kabisa mpira hautabiriki na ike ni derby af pale juu umeshajitabiria kwamba majogoo wanapunguzwa kasi na manure.. 😁😁😁
 
Jina lake nataka nimtizame YouTube
Hii winger inatufaa sana tuongeze pesa ikifika hata £40 ml hawawez kugoma akina monch ... Cengiz ana quality za wide kabisaaaa. Na uzur Mara zote ambazo scout wetu wakiongozwa na SVEN MISLITANT wameenda kumtizama amefanya poa na Amescore hizo game.

View attachment 968414
 
Back
Top Bottom