Mechi ya leo ni ngum kwetu.3:2
Tumepigwa
Dk 85
Hapo sawa Mkuu



Wachumba hao, nyie mliwalegezea, leo wanakutana na wanaume.
Kama akirudisha itakuwa poa lakin leo ni mara ya kwanza kupoteza baada ya michezo 22 ya mashindano yote aliocheza barani ulaya.Dk 5 za nyongeza
Arsenal rudisheni basi![]()
Yupo anazurura tuHivi hii game Torreira yupo uwanjani
Uelewa wako ni mdogo sana. Sio kila kitu lazima utafuniwe.Basi muwe mnafafanua, unbeaten since when!
Maana ukisema tu unbeaten ukakaa kimya inajulikana ni toka mwanzo wa ligi, na tunajua ni timu moja tu ambayo ni unbeaten.
Leno anapungufu makubwa sana ya kucheza mipira ya cross
Mabeki wasajiliwe sasa kwa dirisha dogo.FT
3:2
Hahahahahah, washabiki wa arsenal hata ukiwaambia habari ya asubuhi, utasikia... TorreiraYupo anazurura tu