Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

- The Washington Post
Ujinga wa nchi za Kiafrika ndo huu. Yaani nchi masikini kama Rwanda inaweza kugenerate $13M kila mwaka kuilipa timu ya Wazungu wakati vitu kama Umeme, Maji ya kuaminika, vitendea kazi shuleni na mahospitalini hakuna. Hata kama mimi ni mpenzi wa soka la Arsenal siwezi kukubaliana na ujinga kama huu. Muda si mrefu utashitukia hata sisi Tanzania tunaiga upuuzi huu.
Btw, hivi Kikwete aliwalipa kiasi gani Premier League sijui Sunderland tulipokuwa tunaiadvertise misimu miwili sijui mitatu iliyopita?
Cc. Nzi, Belo, DonDonald, Malafyale, RRONDO etc
Hii kitu kwa nje ni kama inaonekana sio move nzuri lakini kwa nyuma kuna mambo Mengi. Kwa jicho La kwanza: inawezekana kweli jamaa ame force kutokana na sababu zake anazo zijua mwenyewe. Na kama itakuwa hivi basi ni jambo baya na hajatumia busara kabisa.

Kwa jicho La pili huu ni uwekezaji. Sasa inategemea wao wameona itawapa faida kiasi gani. Na wameona itawasaidia kiuchumi. Kama wamefanya kwa malengo haya basi ni jambo zuri.
 
- The Washington Post
Ujinga wa nchi za Kiafrika ndo huu. Yaani nchi masikini kama Rwanda inaweza kugenerate $13M kila mwaka kuilipa timu ya Wazungu wakati vitu kama Umeme, Maji ya kuaminika, vitendea kazi shuleni na mahospitalini hakuna. Hata kama mimi ni mpenzi wa soka la Arsenal siwezi kukubaliana na ujinga kama huu. Muda si mrefu utashitukia hata sisi Tanzania tunaiga upuuzi huu.
Btw, hivi Kikwete aliwalipa kiasi gani Premier League sijui Sunderland tulipokuwa tunaiadvertise misimu miwili sijui mitatu iliyopita?
Cc. Nzi, Belo, DonDonald, Malafyale, RRONDO etc
Ndio utandawazi huo return watakayoipata Rwanda kwenye hilo deal ni kubwa zaidi ya walicho-invest

Africa bado tunatawaliwa hatuwezi kuwakwepa wazungu kwenye ukuaji wa uchumi wetu
 
New Arsenal boss Unai Emery is set for a backroom shake-up that could see Steve Bould and Jens Lehmann leave the Emirates. (Sun)

Arsenal have made first contact with Sampdoria regarding midfielder Lucas Torreira. An agreement could be reached for the Uruguay international in the coming weeks. Napoli are also interested in the player. [@TuttoMercatoWeb] AFC
 
Michael Seri Akitua Emirates Tatzo La Kiungo Mkabaji Kwisha Mana Jamaa Ni Zaid Ya Kante
 
Yah yah
IMG_20180601_214528_216.jpg
 
Jana ilikuwa ARSENAL LEGENDS VS RMADRİD LEGENDS

FT: 1-2 ila ina home and away jana walikuwa SANTİAGO BERNEBEU marudio yatapigwa EMİRATES 8SEPT.
 
Arsenal Transfer News- Sokratis in London for Medical this week.


Beki mshahara Sokratis Papastathouporos anatarajiwa kutua jijini London wiki hii kusaini mkataba na Arsenal.

Arsenal imekubaliana na Borussia Dortmund kiasi cha pauni milioni 16.

Mgiriki huyu atakuwa ndiyo usajili wa kwanza kwa Unai Emery akiwa kocha mkuu wa Arsenal.

Pia beki mwingine Stephan Lichtsteiner kutoka Juventus nae anatarajiwa kusaini mkataba na Arsenal akiwa "free agent".

Beki huyo raia wa Switzerland anatajiwa kuungana na Papastathouporos kuziba nafasi za "The Boss" Laurent Koscielny ambae ameumia goti, Mustafi pamoja na Per Mertesacker ambae amekuwa kocha wa timu ya yosso ya Arsenal au Arsenal Academy.
 
Angalau wenzangu mmeshtuka tu mimi nimefadhaika sana nikawaza labda AW hajaondoka bado,Mungu atunusuru na dhahama hii.
Hahaha eti AW hajaondoka...ila all in all sijui ni mapendekezo ya nan huyu...kama ni kocha,yajayo yanafurahisha...
 
Back
Top Bottom