McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
New Gooner
Welcome to Arsenal Lichtsteiner.
Welcome to Arsenal Lichtsteiner.
Hahaha eti AW hajaondoka...ila all in all sijui ni mapendekezo ya nan huyu...kama ni kocha,yajayo yanafurahisha...


Hatumtaki, aende Stoke City..
Sasa sokoni kuna jean-seri,arturo vidal,nzozi huyu bigfela wa kazi gani pale au ndio bajeti so bora bureeeeeeee kumbuuka bure ghaliHahaha eti AW hajaondoka...ila all in all sijui ni mapendekezo ya nan huyu...kama ni kocha,yajayo yanafurahisha...
Oooooohpssssss mana dahhhhhh sasa si bora ya elneny kuliko huo mzigo
Sasa sokoni kuna jean-seri,arturo vidal,nzozi huyu bigfela wa kazi gani pale au ndio bajeti so bora bureeeeeeee kumbuuka bure ghali

Asee bora hata Yondani kuliko huyu mjamaaSasa sokoni kuna jean-seri,arturo vidal,nzozi huyu bigfela wa kazi gani pale au ndio bajeti so bora bureeeeeeee kumbuuka bure ghali
Yawezekana ni kutokana na kumwaga pesa kwenye usajili wa lacazette na auba...naona pesa imepungua si kawaida na wanataka ku-compensate kwa njia hizo....aisee AW kaondoka kimwili ila kiroho yuko pale.Kama kawaida yetu tunavizia free agent au hasizidi £ 20m,tulisema kua budget yetu ni sarafu ya mboga kuna mwenzetu akasema zipo nyingiiiii![]()
Kama kawaida yetu tunavizia free agent au hasizidi £ 20m,tulisema kua budget yetu ni sarafu ya mboga kuna mwenzetu akasema zipo nyingiiiii![]()
Kwa hiyo epl nako kumekaaje?Arsenal itacheza Europa league msimu ujao hivyo haihitaji wachezaji wenye gharama kubwa.
Nafikiri hiyo ndiyo approach yao kwa sasa kwenye transfer market.
Good....dg atapata changamoto sasa![]()
Karibu Arsenal Stephan Lichtsteiner
Arsenal leo imekamilisha usajili wa Stephan Lichtsteiner kutoka Juventus.
Inasajili wachezaji wa gharama ndogo ili ishiriki uropa tena 2019-2020???!!!...hii kasumba nimeikataa..Arsenal itacheza Europa league msimu ujao hivyo haihitaji wachezaji wenye gharama kubwa.
Nafikiri hiyo ndiyo approach yao kwa sasa kwenye transfer market.
Kwa hiyo epl nako kumekaaje?
Inasajili wachezaji wa gharama ndogo ili ishiriki uropa tena 2019-2020???!!!...hii kasumba nimeikataa..
Namkumbuka lucas perez ngoja kocha apewe muda hukumu za mapema ni mbaya kuna makocha huwa wanafanya vizur ktk bajet ndogo tutamhukum baadae akiba ya maneno ni muhimu.Kikosi kinanolewa kucheza mpira uso wa kurembesha na akipatika mchezaji mwingine pale kti kama Jean Michael Seri, basi Arsenal watakuwa kule juu kwenye msimamo wa ligi.
Lucas Prez nae karudi, kama wamkumbuka.
Arsenal itacheza Europa league msimu ujao hivyo haihitaji wachezaji wenye gharama kubwa.
Nafikiri hiyo ndiyo approach yao kwa sasa kwenye transfer market.
Yajayo yanafurahishaNdiyo hivyo tena, watu tulikuwa tunamwonea Arsene Wenger bure tu na kumsema vibaya kwamba ana mkono wa birika.
Kumbe hii kitu mkono wa birika imo kwenye DNA ya bodi ya Arsenal na Stan Kroenke.