Acha ushabiki.
Ubora upime kwa kutumia mashindano wanayokutana, UEFA CHAMPIONS LEAGUE, EUROPA, na hata mashindano ya timu za taifa, wachezaji wanaoccheza ligi zipi kwa wingi timu zao hufanya vizuri.
ACHENI USHABIKI MANDAZI. Usilete ushahidi wa ETI liver mbona msimu huu kaingia fainali. Inakuaje Seville au Atretico Madrid timu inayojipapatua kujaribu kuvunja ufalme wa "timu mbili" Spain, zinasumbua timu kubwa za ligi zingine.
Bundesliga ni bora zaidi ya EPL, mahaba yako kwa EPL ni ya kwako wewe. Na Seria A itachukua nafasi ya EPL very soon.