Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu Masanilo...ni kweli umewataja lakini neno "almost" na pale ulipoishia etc etc etc inaonesha si hao tu bali na wengineo ambao ni wengi mno.......

Nadhani tunaendelea vyema tu, tukithamini sana michango yako maana inatufanya kujifunza na kufurahia, tukiamini wewe ni kati ya watu waliopo juu katika hii fani ya michezo, i mean ni kati ya watu ambao, binafsi, nawaheshimu katika michango yao ya kimichezo maana hunifanya kujifunza na kufurahia------

Nimekusoma kiongozi! Leo vipi Barca na Inter?
 
Sare ama Barca anachapwa...Inter wanaenda fainali

Pamoja hapo! Ila Mourhino is a character ....leo amemchukua Figo na atakuwa naye kwenye bench......Final hiyooooo....ila na Bayen itakuwa final nzuri sana. Mwaka jana was one sided man utd na Barca
 
wennga antuzingua bila kufanya usajili atafanikiwa kuubeeba ubingwa wa ligi ata
kidogo anatakiwa aige mfano wa makocha wenzie wa big 4
vinginevyo atafulia mpaka bs
 
Pamoja hapo! Ila Mourhino is a character ....leo amemchukua Figo na atakuwa naye kwenye bench......Final hiyooooo....ila na Bayen itakuwa final nzuri sana. Mwaka jana was one sided man utd na Barca

Bayern wazuri sana mwaka huu....wanaweza wakachukua ubingwa mwaka huu....fainali ya Inter na Barca itakuwa nzuri sana,naomba iwe hivyo
 
Wana gunner wote napita kuwasalimia, nimetingwa sana na masuala binafsi ila tupo pamoja.
 
Wana gunner wote napita kuwasalimia, nimetingwa sana na masuala binafsi ila tupo pamoja.

Dah.........mkuu umeadimika sana...sie tupo tu twaendeleza libeneke hapa....kazi njema mkuu,uwe unakuja mara mojamoja kama hivi japo kutusabahi tuuu
 
EXCLUSIVE: No Guarantee Andrey Arshavin Will Be At Arsenal Next Season - Agent:
Barcelona-admiring forward will seek move if boss doesn't pen new deal.
Andrey Arshavin's agent has admitted there is no guarantee that the forward will be at Arsenal next season.

In an exclusive interview with Goal.com UK, Dennis Lachter claims doubts over whether Arsene Wenger will sign a new contract have thrown the futures of the Russian and all the club's other stars into confusion.

His comments come just 24 hours after Arshavin admitted that playing for Barcelona would be the "pinnacle" of his career.

By Wayne Veysey
Apr 28, 2010 9:32:00 AM
http://www.goal.com/en/news/9/engla...-guarantee-andrey-arshavin-will-be-at-arsenal
 
Wenger - We'll sign a player before June 11

By Richard Clarke

Arsène Wenger has confirmed that Arsenal will sign a new player by the time the World Cup starts.

With just two games to go in the Premier League season, transfer rumours are already filling the back pages. As you would expect the Frenchman refused to name any targets but he did reveal he would "certainly" bring in a new face before the tournament begins in South Africa on June 11.

"We have a basic squad and I believe in the squad I have," he said. "But if I can make an addition – two or three maximum – then we will do it.

"I will try to do what I want to do as quickly as possible but I am not the only decider. It doesn't only depend on me.

"Ideally, you would want to do the job before the World Cup. It is difficult to give yourself the right timing.

"Certainly, we will announce one player before the World Cup. After that we will see."

Source: Arsenal.com
 
Wenger - We'll sign a player before June 11

By Richard Clarke

Arsène Wenger has confirmed that Arsenal will sign a new player by the time the World Cup starts.

With just two games to go in the Premier League season, transfer rumours are already filling the back pages. As you would expect the Frenchman refused to name any targets but he did reveal he would "certainly" bring in a new face before the tournament begins in South Africa on June 11.

"We have a basic squad and I believe in the squad I have," he said. "But if I can make an addition – two or three maximum – then we will do it.

"I will try to do what I want to do as quickly as possible but I am not the only decider. It doesn't only depend on me.

"Ideally, you would want to do the job before the World Cup. It is difficult to give yourself the right timing.

"Certainly, we will announce one player before the World Cup. After that we will see."

Source: Arsenal.com
Arsenal Manager Arsene Wenger 'Very Disappointed' With Andrey Arshavin Comments, Hints At 'Two Or Three' Summer Arrival​
Arsenal boss Arsene Wenger admits he is disappointed with Andrey Arshavin after the midfielder claimed that a move to Barcelona would represent "the peak of my career."

The Russian playmaker, who is currently injured with a calf problem, was quoted by Russian newspaper Sport Express, though he has subsequently claimed he would finish his career at Arsenal.

"When you are at Arsenal, you are at Arsenal. When you are somewhere else, you are somewhere else.

"I believe that your pride makes first that you defend your club.

"Everybody has the freedom to speak, but you want to make sure first of all that you respect your club."
"Yes, I am very disappointed because he shows a completely different attitude," the French boss said.

These latest comments are not the first time that Arshavin has been quoted as questioning his future at the Emirates Stadium, but Wenger believes that part of the problem may be an issue of translation
 
Naona wana Arsenal mmeamua kulisusa na jukwaa kabisa........hahaaaaaaaaaaaa.acheni hizo bana...Njooni tuendeleze libeneke hapa....Mbu,Baba Mkubwa,Ng'wanza Madaso,Arsene Wenger,Kweli,Radical,Mpiga Filimbi,Wacha,Wacha 1,BAK,Shadow na wengine mu wapi???????,rudini kundini bana......

Mzee nilikuwa West Kilimanjaro kwenye mashamba ya ngano na shayiri inayouzwa TBL. Nimerudi jana, personally sijakimbia nipo tena nimekuja na kasi ya kimbunga.
Nimeona watu wanamsema Wenger kwamba aondoke, guys kumbukeni tumetoka kujenga uwanja so for stability purposes he could not spend so Wenger has done a good job.
Nimeskia club ime-stabilize now na jamaa atanunua players, Chamakh tayari so mtu kama Melo akija plus a world class Goalkeeper in short I hope atasajili watu kama wanne wa maana.
He should off load Denilson, Eduardo, Diaby, Sylvester.

In Wenger I trust.
 
Haya na nyie "Mtibwa Sugar"....oooppps Arsenal........ mwasemaje
 
Arsenal team in full: Fabianski, Diaby, Sagna, Nasri, Van Persie, Vela, Walcott, Silvestre, Eboue, Traore, Campbell

Substitutes:
Eduardo, Djourou, Arshavin, Mannone, Gibbs, Eastmond, Henderson

Vipi Song, majeruhi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom