Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Duh naona dakika ya 73 mko nyuma....Mwaka huu ata Spurs watawapita kuchukua nafasi ya tatu. Ule utabiri wa yule mpuuzi(jina limenitoka) uliishia wapi maana najua washabiki wengi wa Arsenal mlimuamini.

Kweli mkuu Eqlypz kwasasa namba 3 sidhani kama tunaweza maana kwa fomu tulionayo kuwafunga Fulham ni issue
 
Mkuu Balantanda hebu nipe mtazamo wa the way tunavyocheza, matumaini yapo?
Tumefulia mkuu wangu...Tottenham haooooooo wanatuovertake....Nilisema na nitazidi kusema kwamba Wenger keshaishiwa,aondoke sasa.....Tunahitaji kocha mwingine mwenye mawazo na mfumo mpya
 
wakuu nyie mna moyo kumbe mlikuwa mnaangalia mechi ya leo pia? mimi niliona niendelee nashughuli zangu tu am waiting for next season.season hii niliifunga baada kufungwa na spurs.
 
_47768072_009218899-1.jpg
 
Hili halikuniuma, lile la pili yaani mpaka nikampigia simu mchumba kumuulizia Kikwete kazungumziaje kuhusu michezo....

ChrisSamba_2449143.jpg


Hahahahahahah hotuba ya Mkwere imeniboa sana! Nitarudi bongo akimaliza urahisi wake
 
ChrisSamba_2449143.jpg


Hahahahahahah hotuba ya Mkwere imeniboa sana! Nitarudi bongo akimaliza urahisi wake

Samba alifungia kisogo?

Upo maeneo gani, unaweza ukakuta tupo nchi moja, ngoja ni ku add ili tuje tuchati siku moja maana.....
 
Poleni watani, nyie wana Gunners mlitucheka (Man Utd) tulivyotoa draw na hao Rovers.
 
Haya mmepta Striker kama kawa Wenger kaenda kwao
Chamakh ready for Arsenal switch

By Soccernet staff




May 5, 2010




Bordeaux striker Marouane Chamakh has confirmed he will join Arsenal at the end of the season and revealed he rejected offers from Tottenham Hotspur and Liverpool.

marouanechamakhtraining20100430_275x155.jpg
GettyImages
Marouane Chamakh is expected to be one of several summer signings at Arsenal



Chamakh, 26, is out of contract this summer and it has long been assumed he will move to Emirates Stadium, with Arsene Wenger saying last month that there was a "good chance" he would arrive.
"I am delighted to become part of the English football atmosphere," Chamakh told L'Equipe. "It is something amazing.
"Arsenal were not alone [in making an offer]. There were approaches from Liverpool, Tottenham and crazy offers from Russia that were much bigger than those from England, but I was focused on playing in the Premier League.
"Bordeaux offered me a contract extension that was almost impossible to refuse, financially - the figures were very close to those offered by Arsenal.
"I have always loved Arsenal's football. I know I will have to adapt, but I have experience of playing the short passing game from working with Yoann Gourcuff."
He added: "I am counting down the days - 11 short days. As time passes, it feels strange. I am experiencing many emotions."
Chamakh claims he would have agreed to prolong his deal at Bordeaux had they not delayed in offering him an extension.
"They should have offered me something a year earlier," he said. "I think the club and I did not understand each other. It was clear to me that if they did not extend my contract in 2009, I would have the right to leave, but then they blocked my move. I didn't take that well."
He added: "It's true that I almost cracked [and signed a new deal] but, in February, I made my decision. It would be illogical to sign a new contract with a release clause after refusing Arsenal last summer."
Chamakh, who has been with Bordeaux since the age of ten, feels he is now ready to deliver in the Premier League.
"At Bordeaux, I was the club's child," he said. "In London, I won't be a kid anymore. I have grown, I have things to prove and I am motivated to achieve them."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom