Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,824
Guys, can't you spare us a little bit tugange maumivu ya tatu kichapo mfurulizo?
Let them speak bana..........Wanastahili kuongea..................................
Guys, can't you spare us a little bit tugange maumivu ya tatu kichapo mfurulizo?
Solution ya matatizo ya Arsenal ni kubadilisha kocha ,mtafute kocha mwenye mtazamo mpya
Yeah....Wenger should go.............Twahitaji kocha mpya sasa
Sergio Ramos is jobless at the moment......Arsenal give him a go.....teh teh teh teh
do you mean JUANDE RAMOS???SERGIO RAMOS sio right back wa real madrid?
Lol!...kuna baadhi ya Arse fans ni damn myopic!..sijui wameanza kuangalia mpira lini?, sie tulishawambia kuwa mbio zenu za sakafuni twajua lini na wapi zitaishia, nyie ni kama ngoma za watoto zile, ikifika 6PM zishaisha, mnatuachia wakubwa twaendeleza libeneke....tehetehe!, as i predicted, mshaanza kumtoa kafara Le Professeur wenu, i said it before, nyie watu wa ajabu sana, mkishinda game mbili mfululilzo, u come here wth a lot of praise kwa AW, leo hii mnamuona ch*ko!..next time mpunguze kuongea sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!, vitendo zaidi,maneno kidogo. Loosers, do you copy?
View attachment 9568
Its unfair to compare between The Kop & The Gunners.Kop wanaongoza kuchukua EPL na wanaongoza kuchukua Champs League hapo England
Sergio Ramos is jobless at the moment......Arsenal give him a go.....teh teh teh teh
Sergio Ramos is jobless at the moment......Arsenal give him a go.....teh teh teh teh
ATTENTION😛olice are looking for a cleaner at Emirates Stadium who opened their trophy cabinet and let out a cloud of dust that closed all UK airports and parts of Europe..anyone with info report to the nearest Police Station.
Umeibukia uku enh?
ATTENTION😛olice are looking for a cleaner at Emirates Stadium who opened their trophy cabinet and let out a cloud of dust that closed all UK airports and parts of Europe..anyone with info report to the nearest Police Station.
"The suspect, BwabWacha1, of Hackney, has been arrested this evening and charged over severe public disturbance and............."
Naona wana Arsenal mmeamua kulisusa na jukwaa kabisa........hahaaaaaaaaaaaa.acheni hizo bana...Njooni tuendeleze libeneke hapa....Mbu,Baba Mkubwa,Ng'wanza Madaso,Arsene Wenger,Kweli,Radical,Mpiga Filimbi,Wacha,Wacha 1,BAK,Shadow na wengine mu wapi???????,rudini kundini bana......
Naona wana Arsenal mmeamua kulisusa na jukwaa kabisa........hahaaaaaaaaaaaa.acheni hizo bana...Njooni tuendeleze libeneke hapa....Mbu,Baba Mkubwa,Ng'wanza Madaso,Arsene Wenger,Kweli,Radical,Mpiga Filimbi,Wacha,Wacha 1,BAK,Shadow na wengine mu wapi???????,rudini kundini bana......
Naona wana Arsenal mmeamua kulisusa na jukwaa kabisa........hahaaaaaaaaaaaa.acheni hizo bana...Njooni tuendeleze libeneke hapa....Mbu,Baba Mkubwa,Ng'wanza Madaso,Arsene Wenger,Kweli,Radical,Mpiga Filimbi,Wacha,Wacha 1,BAK,Shadow na wengine mu wapi???????,rudini kundini bana......