Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Nahisi kuna tatizo la kiutawala Arsenal,mbona wachezaji hawajitumi kucheza kama wachezaji wa timu nyingine??
Wanajituma sana Mkuu lakini ndiyo uwezo wao ulipofikia Hakuna jinsi..!
Nahisi kuna tatizo la kiutawala Arsenal,mbona wachezaji hawajitumi kucheza kama wachezaji wa timu nyingine??
Nipo Chifu...
Sema performance ya timu inanifanya nijiweke kando ingawa nakuwa msomaji zaidi..Ninkweli jana timu imecheza vizuri ingawa Everton sio kipimo kizuri cha ubora wa timu..Wangecheza vile kwa mojawapo ya timu 5 za juu ningewakubali zaidi...
All in all asanteni sana kwa Mikhi...
Sasa kwani mechi tayari???? subiri tuwanyooshe hao wababe wenu
Formation:4-3-3
Cech
Berelin
Mustaf
Kos
Nacho
Xhaka
Ramsey
Mkhi
Ozil
Laca
Auba
Sub
Saed
Ospina
Willpower
Maitland
Chamberz
Hivi yule Rambo alikuwemo au Wavietnam Wamemteka? 😀 😀
Wenger ni [HASHTAG]#out[/HASHTAG] au #in ?
Nilikuwa natizama kupitia mobdro yule mwarabu nilisikia akisema sana neno KHAMSA sasa kwa andiko lako hili nimemuelewa.nyanda wenu jana alikuwa timamu pana moja erikson kampeleka mawinguni akaenda kuupa daraja ilikuwa tamu sana.hilo goli moja tulibahatika tu, wale wadude walikuwa wanatengeneza nafasi za kutufunga kila mara, bahati haikuwa kwao, leo tungelia 5 pengine
Wewe upo nafasi ya ngapi?Mkuu Sarah!!! ni nani? Na hata kama ulikuwa unamaanisha Salah unataka kumfananisha na nani hapo kwenu? Ingekuwa haya maneno ya ushabiki wenu yangekuwa realistic mngekuwa mnacheza UEFA na mngekuwa angalao mna kikombe kimoja cha ligi katika miaka hii 14. Mbaya zaidi huyu anaeongea hapa timu yake ilikuwa nafasi ya 3 sasa iko ya 6![]()
Wewe si ulikula mbili mtungi lakini mbona mineno inakutokaMkuu leo kweli umewapatia...unawapa fact tupu.![]()
Hili jukwaa halikuhusu mkuu watu tunatafakari ,nenda kwenu kule kwa wazee.......huku ujananiSi Mchezo! Yani Uzi umegeuka Kuwa Kituo Cha Polisi! 😀 😀 😀
Msishangae ndo mtu wenu huyo jana hiyo hamna alichokifanya uwanjani zaidi ya kucheza 90' .
View attachment 693923