DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,870
Duh...hamshindwiiiiiiiiLacazette amechemsha na OG amekubali kuondoka
Duh...hamshindwiiiiiiiiLacazette amechemsha na OG amekubali kuondoka
Mkuu Sarah!!! ni nani? Na hata kama ulikuwa unamaanisha Salah unataka kumfananisha na nani hapo kwenu? Ingekuwa haya maneno ya ushabiki wenu yangekuwa realistic mngekuwa mnacheza UEFA na mngekuwa angalao mna kikombe kimoja cha ligi katika miaka hii 14. Mbaya zaidi huyu anaeongea hapa timu yake ilikuwa nafasi ya 3 sasa iko ya 6Waafrika wana njaa wewe sio kama hao uliowataja mayai mayai ,unamuona Mo Sarah anavyokinukisha?????mcheki Mane........naisubiri hiyo london derby daaaaah


Spurs wapo vizuri, wanaweza kutupiga leo.Leo tupo pamoja wapunguzeni speed hawa Spurs....droo itapendeza!
Mkuu tunawafunga hao kuwa na AmaniSpurs wapo vizuri, wanaweza kutupiga leo.
Dakika 90 ndo zitaongea mkuuLeo Tottenham anakula bakora kama kawaida tatu mpaka nne
Ngoja tusubiri mkuu.![]()
Sina shaka na kikosi chetu cha leo wakuu
#coyg#
Huyo cech wa nini tena golini hapo?our lineup against spursView attachment 693496
Kuna pundits walikuwa wanajadili kuchezesha Wilshire na Ramsey kwenye mechi moja, conclusion ikawa ni lazima Ramsey acheze wide ili Wilshire acheze kati as hawawezi kucheza katikati pamoja.![]()
Sina shaka na kikosi chetu cha leo wakuu
#coyg#
acha tu amalzie msimu wake wa mwisho..Huyo cech wa nini tena golini hapo?
Ramsey ni mgonjwa mkuu so hatocheza game ya leo.Kuna pundits walikuwa wanajadili kuchezesha Wilshire na Ramsey kwenye mechi moja, conclusion ikawa ni lazima Ramsey acheze wide ili Wilshire acheze kati as hawawezi kucheza katikati pamoja.
Ramsey ni mgonjwa mkuu so hatocheza game ya leo.Kuna pundits walikuwa wanajadili kuchezesha Wilshire na Ramsey kwenye mechi moja, conclusion ikawa ni lazima Ramsey acheze wide ili Wilshire acheze kati as hawawezi kucheza katikati pamoja.
anatafuta another clean sheet, aongeze kwenye cv! nadhani inapatikana leoHuyo cech wa nini tena golini hapo?
Mkuu, kuna jamaa kapost line-up hapo juu, kumbe haikuwa ya kweli.Ramsey ni mgonjwa mkuu so hatocheza game ya leo.
Cech apumzike, naona babu hataki kumpa Ospina nafasi.anatafuta another clean sheet, aongeze kwenye cv! nadhani inapatikana leo