mkojo wa bhange
JF-Expert Member
- Aug 2, 2017
- 560
- 639
Acha utani mkuu....hizo sio takwimu za man utd walipochezea kichapo cha spurs?...Dakika Ya 90+4'
Shots on Target:
Spurs 8
Arsenal 1
Shots Off Target:
Spurs 8
Arsenal 3
Acha utani mkuu....hizo sio takwimu za man utd walipochezea kichapo cha spurs?...Dakika Ya 90+4'
Shots on Target:
Spurs 8
Arsenal 1
Shots Off Target:
Spurs 8
Arsenal 3
Pole mkuu....mfupa uliomshinda fisi nyau hauweziFT
Tott 1-0 Arsenal
Pole mkuu....mfupa uliomshinda fisi nyau hauwezi



Muone Game gani ijayo na huku inayofuata mna Man city kwenu mtakoma ninyi hahahaaaLeo tumecheza vibaka chief,ngoja tuone game ijayo
Dembele aliwapoteza pale katiKiungo yetu leo inanyambulika sana hapo katikati,sijui wachezaji walikula sana bata baada ya kushinda game ya Everton.
View attachment 693579
Duh! Hili Kosi sio siri linatisha kinoma 😀 😀 😀
Yani Wajeda Hawa Wanne Munao Halafu Munafungwa? 😀 😀 😀


Mkhitaryan, huwa anatamba mechi laini laini tu! Hata alipokuwa MANUTD, alikuwa anacheza vizuri michezo michache sana!Wakuu Hivi Leo Aubameyang na Mkhitaryan Hawakuemo?
Mkuu leo kweli umewapatia...unawapa fact tupu.Full Time
Shots on Target:
Spurs 8
Arsenal 1
Shots Off Target:
Spurs 8
Arsenal 3
Spurs 1 - 0 Arsenal


Yaah nyanda wenu kafuta nyingi ila poleni ndio mpira huo.Asante sana mkuu,jamaa walitu-out class completely naamini tulistahili kufungwa zaidi ya goli 1.
Fisi ni nani sasa ndugu...?![]()
...I was right after all.On paper...
We're good at the Emirates, but very poor on the road. Only three wins away from home...5-1 against POOR Everton........
KDB, King MoMou huwa hauzi mchezaji kizembezembe. Mtajuta na huu mzigo.
Mechi ya kesho wala sina wasiwasi. Arsenal ndio timu pekee yenye rekodi ya kuutumia uwanja wa Wembley vizuri na kwa mafanikio.
Nina hakika kesho Totenham analoa 4 kwa ubuyu.
Ila nadhani Wenger angekuwa anamuamini Maintland Niles maana dogo ni fundi wa kukaba na kudrible.
Acha utani mkuu....hizo sio takwimu za man utd walipochezea kichapo cha spurs?...