k.shuku kibosho
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 278
- 269
mi nauliza wale wasaidizi wa wenger hawamshaurii uyu mzee?....mbona mambo ni yaleyalee!
Nasikia kadonolewa na kuku dume Mara 4 akafa. Marehemu alikuwa mdhaifu sana kiafya. Inasikitisha kwa kweli![]()
![]()
![]()
![]()
Inamaana mmeamua kuzika wakati ndugu wa marehemu wamekimbia mji wao? 😀😀😀Huja chelewa. Karibu chai na mandazi. Ukimaliza kuna mchele wa kuchambua kule kwa wakina mama wenzako. Ngoja sisi wanume tukachimbe kaburi tayari kwaajili ya kuzika .
Yaani usiku nauona mrefu kwa sababu ya wenger na upuuzi wake
HahahahaaaLiverpool pool amekuja kutuazima mnara wetu wa 4G kutungulia Ndege za kivita za arsenal ndio maana Jana tulishinda 2-0 vs Leicester city ...
Karibuni Manchester United Jamani vijana wadogo Mikopo ya Sacoss na Bank iwanyime raha, na arsenal pia !!!!!!!
Sent From My Nokia Ya Tochi
Hamnaaa , vumilieni tuu.Moderators tafadharini futeni huu uzi wa arsenal kwa ajili ya afya ya baadhi ya mbers wenu ambao ni arsenal fans, nikiwamo na mimi! Sioni faida, ni stress tupu!
Sasa mkuu wafiwa wapo wapi?
Malafyale kuna mtu anaomba uraiaMsife moyo
Arsenal team yenu nzuri tu
Hamna ambaye atabaki salama kwa Mane,Firmo na Salah
Then akija Lallana na Coutihno
Wanao wacheka leo hata wao yatawapata tu
Nani atapona kwa MAJOGOO?
Poleni sana na tunashukuru kwa points 3 leo
Embu mwenye kujua kama liverpool wanapokea wanachama wapya anijuze...nimelichka arsefour
Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi tujitolee kwa hali na mali kuakikisha wanakuwa sawa kisaikolojia. Manake popote walipo nahisi hata kazi hawafanyi kwa ufanisi. Wanawaza Salah na Mane.Sasa mkuu wafiwa wapo wapi?
Naona akina BAK wameshamkana marehemu.
Ina maana ndugu wa marehemu aliyebaki ni Wenger peke yake?
Sent using Jamii Forums mobile app


HahahahahahahahahaInabidi tujitolee kwa hali na mali kuakikisha wanakuwa sawa kisaikolojia. Manake popote walipo nahisi hata kazi hawafanyi kwa ufanisi. Wanawaza Salah na Mane.
Mimi mshabiki wa the blue ila goli la Mane jana nilililike 100%
Sent using Jamii Forums mobile app
4-0????wakicheza Hata na Serengeti boys au kilimanjaro stars wanafungwa. Arsenal is not worth jamani,acheni kushabikia hii team mtakufa kwa presha.Hali zao mbaya...
Wengine wamesema hata kazini hawaji kesho.
Ugonjwa mwingine,Man UShukrani Best, hivi weye ni timu gani vile!? 😛😛
CUTE beSasa mkuu wafiwa wapo wapi?
Naona akina BAK wameshamkana marehemu.
Ina maana ndugu wa marehemu aliyebaki ni Wenger peke yake?
Sent using Jamii Forums mobile app

