Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

af8a40a79f4b1e5df518bb5de0b7a098.jpg
 
Mashabiki wa Arsenal msijifanye mpo bize na bifu la Diamond na Ali Kiba kuzipambanisha *ZILIPENDWA* na *SEDUCE ME*...Tunawakumbusha tu matokeo yenu tunayajua mmefungwa 4-0 na Liverpool na Magoli yamefungwa na Mane Firmino Salah na Daniel Sturidge‍♂‍♂‍♂⛹

*IN WENGER WE TRUST*
 
Arsenal waanza kuondoa wachezaji wasumbufu. ....
Arsenal ipo katika mtihani mgumu msimu huu baada ya jana jumapili kufungwa goli alba yaani 4-0 na Liverpool huko Merseyside ambapo wachezaji Fimimho, Mohamed Salah, Sadio Mane na Daniel Sturridge walifunga goli hizo alba.

Arsenal haikuonyesha kabisa kujituma katika mchezo huo na mshambuliaji Alex Lazazette ambae alisajiliwa kwa kiasi cha pauni milioni 60 alianzia kwenye orodha ya wachezaji wa akiba.
"BIG EXPLANATION IS NEEDED FROM WENGER FOR THE LINEUP HE USED. WHAT THE F-U-K WAS THAT? EVEN MY 5 YEAR OLD SAID THIS WAS A DISASTER LINEUP BEFORE THE GAME KICKED OFF. WENGER MUST BE IN SOME KIND OF GAME FIXING."





 
Plastic fans wamekimbia wote.....Kuna yule anamuone Wenger kama Mungu sijui yuko wapi Wacha apamabane na hali yake ......khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Back
Top Bottom