Nakupiga marufuku nisikuone kwenye uzi wa Man U ha ha ha ha timu gan hata shuti golin hujapiganimeumia sana leo wenger afukuzwe enough is enough
Eeh..hadi huku upo?Poleni...4-0. Hata mkicheza na Serengeti boys wanawafunga
Pole sana mkuu..nimeumia sana leo wenger afukuzwe enough is enough
Ha ha ha Akya MUNGU,Wenger angekuwa anapitia JamiiForum,angekabidhi team Leo hii kwa Comments za Wakereketea WA Asernal kutoka Tz ka Wewe!!Mkuu wewe unaona kuishabikia Arsenal ni jambo la kawaida? 😀😀
Kuwa mvumilivuModerators tafadharini futeni huu uzi wa arsenal kwa ajili ya afya ya baadhi ya mbers wenu ambao ni arsenal fans, nikiwamo na mimi! Sioni faida, ni stress tupu!
Hahahahaha naumia ila ndo hali halisi.... Wenger bhanaaMechi ya leo kama ile ya Liverpool mwaka jana
![]()
Msimu huu sidhani kama big 4 itapatikana.nimeumia sana leo wenger afukuzwe enough is enough
Sio kwa kocha huyu, wenzetu wanavilia miaka 2,3,4 ila wakati huo huo uongozi unafanya kitu! Hapa unavumilia nini wakati wenger ndo kocha wa maisha??Kuwa mvumilivu
mkuu BAK
Hahahaha nimecheka sana mkuuUkiweza kuishabikia Arsenal kwa hali hii unaweza kuwa hata gaidi.. Serikali ifuatilie nyendo za mashabiki wa Arsenal..😀😀😀😀😀