Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

6d38a9136c18b606a0a8e64876d3786b.jpg


Is he saying goodbye or just my eyes
 
6f72addeeafec19436ce3da7f86d79e4.jpg


0 shots on target..
Leo ilikua liver-poor vs vipofu fc

Sent from my Nokia ya Tochi using JamiiForums Mobile app
 
4G

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Sema Mkuu? Mie sasa hivi nimesimamisha upenzi wa timu hii hadi Babu ajiuzulu au afukuzwe. Nimechashoshwa na vipigo ya kipuuzi kila msimu. TImu walizocheza nazo Liverpool katika mechi mbili za kwanza walingangamara na hivyo kutofungwa nne kwa nunge lakini Arsenal ni kichochoro kikubwa.

 
Back
Top Bottom