Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

5470d5e819c873339f5f8508791c8469.jpg
 
Arsenal 4-3 Leicester
Chelsea 2-3 Burnley

*HAPA YALIONGEA SANA*

Stoke city 1-0 Arsenal
Totenham 1-2 Chelsea

*OOOH WAMEBAHATISHA*

Liverpool 4-0 Arsenal
Chelsea 2-0 Everton

*NASUBIRI KELELE ZAO*



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani Best, hivi weye ni timu gani vile!? 😛😛

Kaka pole sana, tutarajie vifo vingi mwaka huu, yaani mechi tatu unagungwa mbili na hapo ni league ndio imeanza, je ikifika katikati?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Shukrani Best, hivi weye ni timu gani vile!? 😛😛

Mkuu Sturridge alipowapiga cha 4 nikakukumbuka, nikahisi the way unavyopata maumivu ya moyo ila tu huwa huoneshi, nikakuhurumia sana. Mkuu hamna timu msimu huu. Pole sana
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ahsante sana Mkuu. Uzuri unaweza kusimamisha upenzi (si kuhama timu kama yule Ngongo) hadi hali itengamae kwa kupata kocha labda na owners wasiotaka cheap players na wenye ari kubwa ya kuleta makombe ya maana Emirates na si makombe mbuzi.

Kaka pole sana, tutarajie vifo vingi mwaka huu, yaani mechi tatu unagungwa mbili na hapo ni league ndio imeanza, je ikifika katikati?
 
Bahati nzuri moyo na akili vimekufa ganzi kuhusu timu yangu pamoja na kuwa niliangalia mechi kwa kipindi kirefu tu. Maumivu hayapo tena Mkuu maana ukishazoea vipigo hakuna jipya tena, unaingia uwanjani ukijiuliza sijui leo tutapigwa ngapi? Ahsante sana Mkuu.

Mkuu Sturridge alipowapiga cha 4 nikakukumbuka, nikahisi the way unavyopata maumivu ya moyo ila tu huwa huoneshi, nikakuhurumia sana. Mkuu hamna timu msimu huu. Pole sana
 
Back
Top Bottom