Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Poleni sana ndugu zangu lakini hivi hamuoni hata team za kushabikia hadi muing'anganie arsenal4
 
Kipigo cha mbwa mwizi..!

Wenger jiondoe kwa ajili ya kulinda Afya za mashabiki.
 
tapatalk_1503855669800.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
2003 nilianza kushabikia Arsenal, kuna wazee flani walikuwa wanashabikia Newcastle United, nilikuwa nawashangaa maana haikuwa inafanya vizuri, ila leo ndio naelewa kuna watoto watakuwa wananishangaa naumia na Arsenal

[HASHTAG]#WEXIT[/HASHTAG] #WENGER-OUT
ea725441d29c3743d41aa9c5f777ab13.jpg
Hakika Usher-smith, kuna jamaa nilikuwa naongea nao baada ya mechi, niliwaambia the same thing. Kijana wa early 20's hawezi kuelewa kwa nini tunaipenda arsenal.
 
Wanaotuangusha ni Gooners ambao wapo UK, kila siku wanaimba Wenger out, afu weekends wanajazana uwanjani kama makuku ya broiler.

Una mchezaji mwenye thamani ya £45 mil, unampiga bench kisa galasa kama Welbeck ambae hawezi kuhold mpira hata kwa sekunde 3.

Bench yupo world class central defender Mustafi mwenye thamani ya £45 mil, kisha unamchezesha kitoto cha miaka 20 ambacho wenger mwenyewe aliwahi kusema bado hana conference.

Una stiff midfielders kama Coqueline bado unamchezesha Ramsey kama holding, na unajua yeye muda wote anawaza kukimbia mbele.

Hivi kuna haja gani ya kuwaingiza strikers wa2 huku unamtoa Sanchez uwanjani na kumwacha Welbeck ambae sina uhakika kama kagusa mpira zaidi ya mara 6 mechi nzima.

Kuna huyu commentator nimemsikia akisema "Arsenal has quality players than Liverpool, but Liverpool is well coached"

RASMI!! Siangalii tena mechi yoyote ya hawa wasimbe hadi Wenger atakaposepa. I respect him, but his 20 years reign is over. I can't embarrass my emotions like this, back to back. I have stopped wasting my time on Arsenal hadi babu kizee atakaposepa.
 
Liverpool pool amekuja kutuazima mnara wetu wa 4G kutungulia Ndege za kivita za arsenal ndio maana Jana tulishinda 2-0 vs Leicester city ...



Karibuni Manchester United Jamani vijana wadogo Mikopo ya Sacoss na Bank iwanyime raha, na arsenal pia !!!!!!!

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Kwa kasi ya Wenger..ile kampeni ya [HASHTAG]#Wengerbaki[/HASHTAG] inamuhuSu...
 
Timu mbovu ya Arsenal ina kila dalili ya kushuka daraja msimu huu baada ya kutandikwa kipigo cha mbwa mwizi na Liverpool cha kapu la mabao 4 - 0

Wachambuzi wa masuala ya soka akiwemo Garry Neville wamechukizwa na kiwango kibovu kilichooneshwa na timu hiyo kiasi cha kushangaa!

Mabao ya Liverpool yalitiwa kimiani na Roberto Firmino dk 17, Sadio Mane dk 40, Mohamed Salah dk 57 na Daniel Sturrige dk 77.

Angalizo kwa washabiki wa Arsenal - Chini ya kocha mbovu Wenger hii timu haitofanya lolote la maana, tafuteni timu nyingine .
 
Wanaotuangusha ni Gooners ambao wapo UK, kila siku wanaimba Wenger out, afu weekends wanajazana uwanjani kama makuku ya broiler.

Una mchezaji mwenye thamani ya £45 mil, unampiga bench kisa galasa kama Welbeck ambae hawezi kuhold mpira hata kwa sekunde 3.

Bench yupo world class central defender Mustafi mwenye thamani ya £45 mil, kisha unamchezesha kitoto cha miaka 20 ambacho wenger mwenyewe aliwahi kusema bado hana conference.

Una stiff midfielders kama Coqueline bado unamchezesha Ramsey kama holding, na unajua yeye muda wote anawaza kukimbia mbele.

Hivi kuna haja gani ya kuwaingiza strikers wa2 huku unamtoa Sanchez uwanjani na kumwacha Welbeck ambae sina uhakika kama kagusa mpira zaidi ya mara 6 mechi nzima.

Kuna huyu commentator nimemsikia akisema "Arsenal has quality players than Liverpool, but Liverpool is well coached"

RASMI!! Siangalii tena mechi yoyote ya hawa wasimbe hadi Wenger atakaposepa. I respect him, but his 20 years reign is over. I can't embarrass my emotions like this, back to back. I have stopped wasting my time on Arsenal hadi babu kizee atakaposepa.
He he he he hehehehe Ontario Karibu kwa waZee Wa 4G Manchester United .. Leo tulikuwa tumemuazima Mtani wetu Limtambo La kufyatulia 4G ndio maana Jana tulishinda 2-0 vs Leicester city, Kama team tuliwaomba radhi mashabiki wetu katka kila pembe ya dunia kuwa ushindi Wa vigoli viwili ni Kama tumefungwa tu .


Kuanzia mechi zijazo tutaongezea mitambo mingine ya 4G ili kuwapa raha Wa Manchester united ..


Kwa taarifa yako tumebakiza kadi moja ya uanachama Wa Manchester duniani. Ni viumbe Wawili tu ndio mpaka sasa bado wamesusa kujiunga na Manchester united (Ontario na Wenger Arsene... Hahahahaha hamia upesi Mkuu mtaa Wa 4G

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Back
Top Bottom