Timu mbovu ya Arsenal ina kila dalili ya kushuka daraja msimu , huu baada ya kutandikwa kipigo cha mbwa mwizi na Liverpool cha kapu la mabao 4 - 0
Wachambuzi wa masuala ya soka akiwemo Garry Neville wamechukizwa na kiwango kibovu kilichooneshwa na timu hiyo kiasi cha kushangaa !
Mabao ya Liverpool yalitiwa kimiani na Roberto Firmino dk 17 , sadio mane dk 40 , Mohamed Salah dk 57 na Daniel Sturrige dk 77 .
Angalizo kwa washabiki wa Arsenal - Chini ya kocha mbovu Wenger hii timu haitofanya lolote la maana , tafuteni timu nyingine .