Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nimefurahishwa na backline ya the gooooons, huyu Mustafi anaweza kufanya clearances vizuri sana, nadhani anaanza kutengeneza combo nzuri sana na Laurent. Right & left back pia wamecheza vizuri.

Nadhani midfield ya Coquelin - Carzola ni nzuri kuliko Xhaka - Carzola. Labda jamaa hawajafahamiana vizuri, tuna options nyingi sana katikati.

Lastly, Iwobi anaifurahisha kila nikimuona akicheza. Very talented youngster.
 
Mechi tuliyocheza vizuri off the ball kuliko zote msimu huu ni hii. Tungetumia nafasi (hasa Walcott) vizuri tungewagonga 4 au 5 leo.
Tatizo ulilo nalo ndugu yangu katika emrates ni kukosa imani na kikosi cha mzee
 
Nimefurahishwa na backline ya the gooooons, huyu Mustafi anaweza kufanya clearances vizuri sana, nadhani anaanza kutengeneza combo nzuri sana na Laurent. Right & left back pia wamecheza vizuri.

Nadhani midfield ya Coquelin - Carzola ni nzuri kuliko Xhaka - Carzola. Labda jamaa hawajafahamiana vizuri, tuna options nyingi sana katikati.

Lastly, Iwobi anaifurahisha kila nikimuona akicheza. Very talented youngster.
Utamuelewa xhaka narudia tena utamuelewa xhaka
 
Nadhani matokeo hayawezi kubadilika mpaka dakika ya 90+3
zinamalizika chelsea wametapika dagaa mara 3
 
Back
Top Bottom