xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
yesssss, mabingwa wa kufeliShInda kwanza leo ndio uje kwa mabingwa huku
yesssss, mabingwa wa kufeliShInda kwanza leo ndio uje kwa mabingwa huku
Chukua kioo af jiangalie af sema nina imani na mourinho atanifikisha mbaliyesssss, mabingwa wa kufeli
HAHAAAA mbali ipi unayozungumzia wewe? hapa penyewe tulipo ni mbali kutufikia wewe sio leo.Chukua kioo af jiangalie af sema nina imani na mourinho atanifikisha mbali
Hamna chelsea anashinda leo..........Chelsea wana wasiwasi leo wanajua 3-0 lazima wapigwe leo.
HAHAAAA mbali ipi unayozungumzia wewe? hapa penyewe tulipo ni mbali kutufikia wewe sio leo.
![]()








Unamoyo mgumu kama kawawaHamna chelsea anashinda leo..........
Ingawa natamani mtoke droo ili Manchester ipate nafasi ya kurudi juu.
Hahaaaa.......adui mwombee njaa.Unamoyo mgumu kama kawawa
leo the blues hawachomoki emirates kabisa.na xhaka la lazma awatungue tuHahaaaa.......adui mwombee njaa.
Ushindi wenu leo ni droo na si zaidi.leo the blues hawachomoki emirates kabisa.na xhaka la lazma awatungue tu
time will tellUshindi wenu leo ni droo na si zaidi.
mkafanye nini? wenzenu wakienda wanaondoka na ndoo, nyie toka mmeanza kuenda mmefaidika na nini?View attachment 406020
Sijawahi kukupinga sababu sisi ni wazee wa nafasi ya nne af wee ni mzee wa nafasi ya nane na saba au sio bigwa
View attachment 406026
Ntajitahidi nisogee sogee walau nibadiri mzingira vipi wewe huko utatoka lini twende uefa!?
Poa.time will tell
Ushindi wenu leo ni droo na si zaidi.
Emirates nitakaribia endapo nitabahatika kupanda ndege zao....vinginevyo siji uko.Unakumbuka ile kauli yako, Mungu anakuona? Lol! Bado tunasajili wapenzi gunners kama MANU wakiendelea kukupa maumivu ya kichwa karibu sana emirates.
Na mimi nasema wapigwe tu, maana hakuna namna nyingine sasa!Chelsea wana wasiwasi leo wanajua 3-0 lazima wapigwe leo.

Na ukiwauliza mara ya mwisho wamechukua lini hiyo ndoo hata hawakumbuki......wao kazi yao ni kukamilisha ratiba.mkafanye nini? wenzenu wakienda wanaondoka na ndoo, nyie toka mmeanza kuenda mmefaidika na nini?
Tena Leo upo Mdogo angu herrera Sina shakaUshindi wenu leo ni droo na si zaidi.
Maana weekend inakujaga vizurimkafanye nini? wenzenu wakienda wanaondoka na ndoo, nyie toka mmeanza kuenda mmefaidika na nini?