Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chukua kioo af jiangalie af sema nina imani na mourinho atanifikisha mbali
HAHAAAA mbali ipi unayozungumzia wewe? hapa penyewe tulipo ni mbali kutufikia wewe sio leo.
images
 
Chelsea wana wasiwasi leo wanajua 3-0 lazima wapigwe leo.
Hamna chelsea anashinda leo..........

Ingawa natamani mtoke droo ili Manchester ipate nafasi ya kurudi juu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
HAHAAAA mbali ipi unayozungumzia wewe? hapa penyewe tulipo ni mbali kutufikia wewe sio leo.
images
1474706544574.png

Sijawahi kukupinga sababu sisi ni wazee wa nafasi ya nne af wee ni mzee wa nafasi ya nane na saba au sio bigwa
1474706882572.png

Ntajitahidi nisogee sogee walau nibadiri mzingira vipi wewe huko utatoka lini twende uefa!?
 
Unakumbuka ile kauli yako, Mungu anakuona? Lol! Bado tunasajili wapenzi gunners kama MANU wakiendelea kukupa maumivu ya kichwa karibu sana emirates.
Emirates nitakaribia endapo nitabahatika kupanda ndege zao....vinginevyo siji uko.
 
Draw ni majanga kwetu sister, lazima tumchape mtu goli tatu ili tuendelee kula sahani moja na MANC.
Mnastahili droo na si zaidi wandugu.......ili mtuache Manchester tushindane wenyewe kwa wenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mkafanye nini? wenzenu wakienda wanaondoka na ndoo, nyie toka mmeanza kuenda mmefaidika na nini?
Na ukiwauliza mara ya mwisho wamechukua lini hiyo ndoo hata hawakumbuki......wao kazi yao ni kukamilisha ratiba.
 
Back
Top Bottom