Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

2585d153-74de-4a11-b81b-935b5ac4b226.jpg

Arsenal wamecheza mchezo wao wa kawaida na it paid off.

Chelsea wamecheza kupakia basi na kutaka kumtumia Diego Costa kufanya counter attacks.

Tusubiri kipindi cha pili je Chelsea watatoka eneo lao? Maana wamefungwa kwa kutumia mchezo wa kujihami.

Wakitoka sana ni karamu ya magoli kwa Arsenal.

Mkuu, Herrera upo?

 
4828.jpg

Arsenal’s Theo Walcott celebrates scoring their second goal
 
Kipindi cha pili kimeanza na Arsenal hawajafanya mabadiliko yoyote.
 
Dakika yaenda ni ya 54 na Arsenal bado wanaongoza kwa goli 3-0

Cesc Fabregas anatolewa na Marcos Alonso anaingia

Chelsea wanarudi kucheza mtindo wa 5-3-2 au 4-4-2 , Kante, Willian na Matic katikati, Costa na Hazard mbele.
 
Dakika inakwenda ya 63 na Chelsea wana wasiwasi.

Mpango waliokuja nao leo umefeli.
 
Niambie unaituma wapi, nitafute kunako nikuone ulivyofurahia ushindi mnono wa Arsenal leo Ooops! MANU lol!.

Hahahaa haiwezi aiseee......natamani nikutumie picha uone nilivyo na furaha.
 
Niambie unaituma wapi, nitafute kunako nikuone ulivyofurahia ushindi mnono wa Arsenal leo Ooops! MANU lol!.
Hahahaaaa hapahapa natuma yaani....leo hata mtu anitie singi simfanyi lolote mana Man u imenifurahisha sana.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
hahahahahah lol! haya kila la heri ila wakianza kukusumbua mie simoooooo, you know what I am talking about

Hahahaaaa hapahapa natuma yaani....leo hata mtu anitie singi simfanyi lolote mana Man u imenifurahisha sana.
 
Back
Top Bottom