Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

half_and_half-large_trans++FNg083D4dwMls34BZ1qmEyi9y4H_XFzJKW87yDRHwck.jpg

Naona akina mama wajasirimali wapo kazini hapa nje ya Emirates.
 
Wenger hapa ndipo watu huwa tunashindwa kabisa kumwelewa logic yake, ya kuanza na Coquelin badala ya Xhaka.
Same here...Huwa sielewi lengo la Wenger ni nini?...

Labda anamuanzisha Coquelin kwa sababu ni Mfaransa mwenzie...

Hajifunzi huyu mzee...
 
Game nyingi za arsenal vs Chelsea hivi karibuni zimekua zinaamuliwa na mbinu za costa

Arsenal watakuwa aware na counter attack za Chelsea ambao wana Fabregas, Willian na Hazard. Diego Costa atakuwa anapewa long balls za hawa wachezaji watatu.

Itawasumbua Arsenal mwanzoni lakini kadri muda utakavyokwenda Arsenal bila kujibu uchokozi wa Costa wataweza kuwadhibiti Chelsea.

Ngoma inaweza kuishia na sare au mmoja atakaeanza kufunga, bado goli linaweza kurudishwa kutokana na kasi ya mchezo wa timu zote mbili.
 
Arsenal watakuwa aware na conter attack za Chelsea ambao wana Fabregas, Willian na Hazard. Diego Costa atakuwa anapewa long balls za hawa wachezaji watatu.

Itawasumbua Arsenal mwanzoni lakini kadri muda utakavyokwenda Arsenal bila kujibu uchokozi wa Costa wataweza kuwadhibiti Chelsea.

Ngoma inaweza kuishia na sare au mmoja atakaeanza kufunga,bado goli linaweza kurudishwa kutokana na kasi ya mchezo wa timu zote mbili.
Nina imani sana na ukuta wa Mustafi na Boss...

Inawezekana AW amemuanzisha Coq kwa ajili ya kuimarisha defence...
 
Same here...Huwa sielewi lengo la Wenger ni nini?...

Labda anamuanzisha Coquelin kwa sababu ni Mfaransa mwenzie...

Hajifunzi huyu mzee...
Coquelin big mechi haziwezi, cha ajabu Wenger huwa anampanga tu
 
Timu zipo kati Arsenal na jezi za nyumbani nyekundu na nyeupe.

Chelsea na jezi zao za blue.
 
Cesc Fabregas anapokelewa kwa uzuri na wapenzi wa Arsenal maana ni kijana wetu huyu.
 
Leo napenda sana mtoke droo ila mkifungwa itakuwa vizuri zaidi.
 
Dakika inakwenda ya 6 goli ni 0-0

Kila timu inasoma mchezo wa mwenzake.

Eneo la sehemu ya kiungo kwa timu zote limetawaliwa na wachezaji wa pande zote mbili.
 
Back
Top Bottom