BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Nipo mbele ya luninga kuangalia huu mchapo ambao tuliusubiri kwa hamu kuu. Results nizitakazo ni draw ya 0-0, lakini hawa Leicester wameanza kufanya madudu yao kama yale waliyoyafanya mwaka jana. They want to prove to prove to the whole football World that it was not a fluke, but they are for real. Wakiweza kucheza kama timu leo basi kazi mnayo tena si ndogo. Enjoy the game guys...all JF football fans.
Mnastahili droo na si zaidi wandugu.......ili mtuache Manchester tushindane wenyewe kwa wenyewe.