Hahahahahaha hadi raha tulipopigwa na liver maneno haya hayakuwepooWenger hatakiwi kufukuzwa..
Hahaha hahaha nacheka kwa rahaaMECHI YA JANA NILICHOGUNDUA
1) Kante hamuwezi ozil tangu akiwa leicester jana kaburuzwa
2) ili umpite mustafi unatakiwa upite juu
3) bora aanze coquelin kuliko xhaka
4) chelsea beki aliyebaki ni zouma tu
5) jana hazard angecheza mechi chelsea ingeshinda
6) xhaka a.k.a pweza ndio mchezaji anayependwa zaidi arsenal kila akigusa mpira hata akiwa golini kwake watu wanamwambia shooot
7) ozil hata angekua amejifunga kitambaa usoni angecheza vizuri maana zile pasi za kupiga kushoto na kuangalia kufika kilikua kitu cha kawaida sana
8) baada ya messi yale magoli anashinda sanchezi tu
9) yule the flash (google it) hamuwezi bellerin kwa kukimbia
10) Arsenal imefuta uteja
We si nimesikia ulienda madrid weweDuuuuh kitaa hiki nimekikimbia long time sana.
But once a Gooner![]()
![]()
.
Nimefurahi sana kwa ushindi wa leo.
makaveli10 za altretico madrid kaka maana nasikia ulienda kule kwa mke mdogoAlwayz a gooner
Issue ni ID mpya sio of all those 3-0 naona PRONDO na mwenzio mmekomalia ID sasa semeni mlitakaje niende kwenu kule nidai mimi ni man u!? ID yenye mashaka ni ile ya mou pale OT na subirini bado nyie kichapo hiki ni mtaa kwa mtaaWewe mwenyewe hushangai ID yako?
Kama anvyojua mou au sioKama kawaida tushasahau....Wenger anajua!
Bora ata umeonaHaya haya mapambano yanaendelea saiz ni kichapo tuu kwa yeyote atayesogea huku
Tuweke unazi pembeni unafikiri nani atakuja pale akiondoka!?despite all these...the old man should go at the end of the season....
Sure let him go.despite all these...the old man should go at the end of the season....
Sidhani mi nafikiri ni opponent mindset game tuNinachokiona kwa wenger
Anataka kumbadili sanchez jumla awe namba 9
Winga atabakia Iwobi, walcoth,alex chamberlai n,.
Sasa itakuwa ushindan kati ya perez,giroud na sanchez
KUNAKOELEKEA SANCHEZ ATAIZOEA NAMBA 9
Labda lkn alimjaribu theo akashindwaSidhani mi nafikiri ni opponent mindset game tu
Ni kweli ila kwasasa tuna winga nyingi , fikiria akipona ramsey ...i abid tuwe na option 3 za washambuliaji wa kati ...kuliko kuwategemea perez na giroudila mi naona Sanchez hakiwa winga anakuwa na madhara zaidi kuliko kuwa MTU wa mwisho