radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Hawa jamaa wanasahau haraka sana.
Unausibitisho kuwa manchester united ilimuweka sokoni pogba?
Hawa jamaa wanasahau haraka sana.
Chupa ya chai kweli yule bwana mdogo sijui inakuwaje hasa katika umri mdogo hivi yaani huwa sielewi nikikumbukaowen hagreves majeruhi yalimrudisha nyuma sanaYuke ni Jack wheelchair sio wilshere
Xhaka na Pogba kama Roy na viera inawezekana ila sio misimu hii miwili wale watu walijijenga kwanza.Mtani, ondoa shaka, Arsenal wanasajili wachezaji angalau wawili kabla ya dirisha kufungwa.
Huwa hawadanganyi wakisema hivyo.
Beki atasajiliwa kabla ya mechi na Liverpool.
Mshambuliaji itakuwa siku za mwisho wa usajili.
Utashangaa Lacazette anasajiliwa tena kwa ada isiyofikia hiyo ya £40 wanayoitaka Lyon.
Usajili wa Xhaka ulikuwa ni muhimu kuliko usajili wote wa mwaka huu.
Hii ndiyo transfer policy ya Arsenal kwenye dirisha la usajili, polepole lakini ukiwa makini- slow but sure.
By the way, tegemea Vieira na Roy Keane kurudia kati ya Arsenal na Man Utd pale Xhaka na Pogba watakapokutana tena.
![]()
Its back!
![]()
Mechi kati ya Arsenal na Man Utd inasubiriwa kwa hamu.
Usajili wa Xhaka kwa Arsenal na Pogba kwa Man Utd ni wa kimkakati zaidi.
Stay Tuned.
Kwani pogba si aliuzwa na united, na leo amevunja record kurudi hapo hapo
Bado mpaka leo umeshindwa kuelewa kauli za wenger akiwa hataki kituAmesema atanunua lkn atakapo pata mchezaji anayeona atakuwa na msaada kwenye timu hasahasa strikers ingawa bado ninaamini arsenal tunakikosi kizuri tu cha ushindani mwaka huu.
Kwahiyo unadhani John Evans atarudi United?
John Evans alietemwa United? Kweli nyie timu ndogo.
Namwelewa Mzee Wenger na falsafa yake ya ubahili ingawa najipa matumaini kuwa huenda akasajili hata siku moja kabla ya dirisha la usajili kufungwa ingawa hiyo ni probability.Bado mpaka leo umeshindwa kuelewa kauli za wenger akiwa hataki kitu
Ikumbukwe hata Gerald Pique mlimtema ila kwa sasa ni moja kati ya mabeki bora zaidi duniani, na alikwenda Barcelona; sasa sijui na yenyewe ilikuwa team ndogo?
BTW John Evans hasajiliwi Arsenal kwa sasa, hizi ni media games tu...!
View attachment 379094View attachment 379095
View attachment 379097
They're back on training pitch.
COYG...!
Mazungumzo na Mustafi wa Valencia hayaishi tu? Hatuna beki wa kati wa kuziba nafasi ya Per..The Boss hajawa fiti kuikabili Liva..mbona Wenger bahili hivi?
Dahhh nimeamini ule msemo wa once a gunner forever a gunner, huyu mzee anazingua sana ila ndo hivo tena arsenal fans wako royal sana, ingekuwa mashabik wa man u team ingebaki na familia ya graizer tu. Na huyu wenger angekuwa tanzania ata mm ningejitolea kumchoma visu vingi sana hadi awe km chujio

Bosi bado hajawa fit vya kutosha ingawa anaweza kucheza jumapili.
Hawa ndio wanataka Mahrez aje Arsenal.
Dau la pili la 35M likipita Mahrez anakuja Arsenal.
Itakuwa Double Swoop.
Tungoje tuone inakuwaje Leicester sasa hivi wanasikilizia hilo dau la pili.