Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,636
- 25,617
Usajili Updates: Schkodran Mustafi asajiliwa na Arsenal.
Beki wa kimataifa wa Ujerumani na timu ya Valencia ya Spain Schkodran Mustafi amekubali kusajiliwa na klabu hiyo ya London na itatangazwa hivi karibuni.
Lakini Mustafi huenda asiwahi mechi ya Jumapili kati ya Arsenal na Liverpool.
Dau halisi la usajili huo linakadiriwa kuwa kiasi cha pauni za Uingereza milioni 30 yaani 20 za usajili halisi na 10 ni kama bonus na marupurupu mengine.
Wakala wa mchezaji huyo bwana Ali Bulut yupo busy kumhangaikia mteja wake na kumalizana na wawakilishi wa usajili wa Arsenal mjini Valencia nchini Hispania.
Mjue Mustafi.
Ana umri wa miaka 24
Ni mjerumani na amechezea timu ya taifa ya Germany mara 12 na kufunga goli 1.
Nafasi ya uchezaji - ni katikati au pembeni mbele ya mkoba.
Alishiriki kwenye kombe la dunia mwaka 2014
Timu ambazo amechezea ni pamoja na Everton (2009-12), Sampdoria (2012-14) na Valencia (2014-2016)
Mwezi June mwaka huu Mustafi alishiriki fainali za kombe la mataifa ya Ulaya nchini Ufaransa na kufunga goli la kwanza kwa Ujerumani ilipocheza na Ukraine mjini Lille.
Karibu Arsenal Schkodran Mustafi.
COYGs
Naendelea kufuatilia hizi data kwenye corridors za harakati za usajili wa Arsenal, na kuzimwaga hapa.
Beki wa kimataifa wa Ujerumani na timu ya Valencia ya Spain Schkodran Mustafi amekubali kusajiliwa na klabu hiyo ya London na itatangazwa hivi karibuni.
Lakini Mustafi huenda asiwahi mechi ya Jumapili kati ya Arsenal na Liverpool.
Dau halisi la usajili huo linakadiriwa kuwa kiasi cha pauni za Uingereza milioni 30 yaani 20 za usajili halisi na 10 ni kama bonus na marupurupu mengine.
Wakala wa mchezaji huyo bwana Ali Bulut yupo busy kumhangaikia mteja wake na kumalizana na wawakilishi wa usajili wa Arsenal mjini Valencia nchini Hispania.
Mjue Mustafi.
Ana umri wa miaka 24
Ni mjerumani na amechezea timu ya taifa ya Germany mara 12 na kufunga goli 1.
Nafasi ya uchezaji - ni katikati au pembeni mbele ya mkoba.
Alishiriki kwenye kombe la dunia mwaka 2014
Timu ambazo amechezea ni pamoja na Everton (2009-12), Sampdoria (2012-14) na Valencia (2014-2016)
Mwezi June mwaka huu Mustafi alishiriki fainali za kombe la mataifa ya Ulaya nchini Ufaransa na kufunga goli la kwanza kwa Ujerumani ilipocheza na Ukraine mjini Lille.
Karibu Arsenal Schkodran Mustafi.
COYGs
Naendelea kufuatilia hizi data kwenye corridors za harakati za usajili wa Arsenal, na kuzimwaga hapa.