Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wapenzi wa Arsenal sometimes kama watoto au mademu wenye wivu kwa marafiki zao. Kila mchezaji akiumia unasikia Wenger kwa nini hukusajili mchezaji wa position hii, position ile angalia timu nyingine zinavyofanya, kila siku unajua tunahitaji mchezaji wa position hii (iwe GK, FB, CB, MF, Winger, Striker) ni manung'uniko tu. Subiri ligi ianze Ozil, Cazorla, Ramsey etc mmoja aumie utasikia mtu analalamika kwa nini hukusajili kiungo. Have a nice jumapili.
 
Yupo Bielik, Chambers na Holding hawa ni wachanga mno kuwakabili Liverpool.

Wenger anafanya mawasiliano usiku huu.

Jana Arsenal walikuwa wamsajili Thomas Vermaelen lakini wakamwachia aende FC Roma.

Mustafi sasa ni target namba moja.

Sidhani kama Arsenal walitaka kumrudisha Vermaelen. Hizi rumors za mitandaoni sometimes sio za kuamini, ni kuzisikia na kusubiri Club web itangaze au news outlet za kuaminika zitangaze.
 
Sidhani kama Arsenal walitaka kumrudisha Vermaelen. Hizi rumors za mitandaoni sometimes sio za kuamini, ni kuzisikia na kusubiri Club web itangaze au news outlet za kuaminika zitangaze.

Hiyo nakwambia mimi mwenyewe nilie kwenye eneo la tukio na sio hizo rumors zenu.

Vermaelen aliwasiliana na Arsenal wakati alipoambiwa na Barca kwamba hayupo kwenye plan yao ya 2016/17

Alitaka kufanya kama Thiery Henry aje kuwa defensive cover, na kwa kuwa ni injury prone Arsenal wakaona hio ni risk, ukumbuke amecheza mechi 11 tu pale La Liga.

FC Roma wanamtaka Vermaelen halafu wanaweza kumruhusu Kostas Manolas asajiliwe na timu yoyote itakayomhitaji.

Hizi ni transfer business hizi timu zinafanya.
 
Guadiora amezoea kumuonea wenger akiwa barca, sasa kaja man city nayy atageuzwa kibonde maana city kwa gunners waga hapindui
 
HOW ARSENE WENGER TREATS CLUB'S MONEY
____________

Richard na @Elli79 ulikuwa unaulizia hii mambo haya mzee kafunguka nicheke kwanza khaah
_____________________

Arsene wenger said Today

'I personally believe the only way to be a manager is to spend the club's money as if it were your own because if you don't do that you're susceptible to too many mistakes,' he added

'You make big decisions and I believe you have to act like it's your own money, like you're the owner of the club and you can identify completely with the club. Because if you don't do that I think you cannot go far.'

Wenger also believes that overpaying players too early in their career can 'kill the hunger' before youngsters have proved themselves at the highest level.

'I’ve fought all my life for footballers to make money but when you pay them before they produce it can kill the hunger. I’m scared we now have players under 17, under 18, who make £1m a year. When Ian Wright was earning that, he’d scored goals, he’d put his body on the line. Now, before they start, they are millionaires – a young player who has not even played.'
 
CHAMPIONSHIP NDO KUNA MAJEMBE
______________

Wenger said:

I’ve said to our scouts to look at the lower leagues because the good players are there now. Don’t forget we have many foreign players in the Premier League but good English players have to go down to develop.

‘What I think will happen is that you will have more and more players coming out of the lower leagues who have had to fight their way through.’
 
HOW ARSENE WENGER TREATS CLUB'S MONEY
____________

Richard na @Elli79 ulikuwa unaulizia hii mambo haya mzee kafunguka nicheke kwanza khaah
_____________________

Arsene wenger said Today

'I personally believe the only way to be a manager is to spend the club's money as if it were your own because if you don't do that you're susceptible to too many mistakes,' he added

'You make big decisions and I believe you have to act like it's your own money, like you're the owner of the club and you can identify completely with the club. Because if you don't do that I think you cannot go far.'

Wenger also believes that overpaying players too early in their career can 'kill the hunger' before youngsters have proved themselves at the highest level.

'I’ve fought all my life for footballers to make money but when you pay them before they produce it can kill the hunger. I’m scared we now have players under 17, under 18, who make £1m a year. When Ian Wright was earning that, he’d scored goals, he’d put his body on the line. Now, before they start, they are millionaires – a young player who has not even played.'
Arsenal need only look at Manchester United to see dangers of transfer failure
 
Mzee Wenger kafunga dirisha lake la usajili? Teh teh!
 
Mzee Wenger kafunga dirisha lake la usajili? Teh teh!
Amesema atanunua lkn atakapo pata mchezaji anayeona atakuwa na msaada kwenye timu hasahasa strikers ingawa bado ninaamini arsenal tunakikosi kizuri tu cha ushindani mwaka huu.
 

Mtani, ondoa shaka, Arsenal wanasajili wachezaji angalau wawili kabla ya dirisha kufungwa.

Huwa hawadanganyi wakisema hivyo.

Beki atasajiliwa kabla ya mechi na Liverpool.

Mshambuliaji itakuwa siku za mwisho wa usajili.

Utashangaa Lacazette anasajiliwa tena kwa ada isiyofikia hiyo ya £40 wanayoitaka Lyon.

Usajili wa Xhaka ulikuwa ni muhimu kuliko usajili wote wa mwaka huu.

Hii ndiyo transfer policy ya Arsenal kwenye dirisha la usajili, polepole lakini ukiwa makini- slow but sure.

By the way, tegemea Vieira na Roy Keane kurudia kati ya Arsenal na Man Utd pale Xhaka na Pogba watakapokutana tena.

CpYEQWDWEAAnsv_.jpg

Its back!

541431302.jpg

Mechi kati ya Arsenal na Man Utd inasubiriwa kwa hamu.

Usajili wa Xhaka kwa Arsenal na Pogba kwa Man Utd ni wa kimkakati zaidi.

Stay Tuned.
 
Mtani, ondoa shaka, Arsenal wanasajili wachezaji angalau wawili kabla ya dirisha kufungwa.

Huwa hawadanganyi wakisema hivyo.

Beki atasajiliwa kabla ya mechi na Liverpool.

Mshambuliaji itakuwa siku za mwisho wa usajili.

Utashangaa Lacazette anasajiliwa tena kwa ada isiyofikia hiyo ya £40 wanayoitaka Lyon.

Usajili wa Xhaka ulikuwa ni muhimu kuliko usajili wote wa mwaka huu.

Hii ndiyo transfer policy ya Arsenal kwenye dirisha la usajili, polepole lakini ukiwa makini- slow but sure.

By the way, tegemea Vieira na Roy Keane kurudia kati ya Arsenal na Man Utd pale Xhaka na Pogba watakapokutana tena.

CpYEQWDWEAAnsv_.jpg

Its back!

541431302.jpg

Mechi kati ya Arsenal na Man Utd inasubiriwa kwa hamu.

Usajili wa Xhaka kwa Arsenal na Pogba kwa Man Utd ni wa kimkakati zaidi.

Stay Tuned.

Beki ndio John Evans ?
 
Beki ndio John Evans ?

Yes wanajadiliana na Valencia kuhusu ada ya usajili kwa Mustafi.

Jonny Evans nae yumo kwenye mipango.

Evans huenda akasajiliwa kama "cover" kwa Koscielyn na Gabby.

Mustafi ni beki wa kuaminiwa kuziba pengo la Mertesacker.
 
Yes wanajadiliana na Valencia kuhusu ada ya usajili kwa Mustafi.

Jonny Evans nae yumo kwenye mipango.

Evans huenda akasajiliwa kama "cover" kwa Koscielyn na Gabby.

Mustafi ni beki wa kuaminiwa kuziba pengo la Mertesacker.
John Evans alietemwa United? Kweli nyie timu ndogo.
 
Mtani, ondoa shaka, Arsenal wanasajili wachezaji angalau wawili kabla ya dirisha kufungwa.

Huwa hawadanganyi wakisema hivyo.

Beki atasajiliwa kabla ya mechi na Liverpool.

Mshambuliaji itakuwa siku za mwisho wa usajili.

Utashangaa Lacazette anasajiliwa tena kwa ada isiyofikia hiyo ya £40 wanayoitaka Lyon.

Usajili wa Xhaka ulikuwa ni muhimu kuliko usajili wote wa mwaka huu.

Hii ndiyo transfer policy ya Arsenal kwenye dirisha la usajili, polepole lakini ukiwa makini- slow but sure.

By the way, tegemea Vieira na Roy Keane kurudia kati ya Arsenal na Man Utd pale Xhaka na Pogba watakapokutana tena.

CpYEQWDWEAAnsv_.jpg

Its back!

541431302.jpg

Mechi kati ya Arsenal na Man Utd inasubiriwa kwa hamu.

Usajili wa Xhaka kwa Arsenal na Pogba kwa Man Utd ni wa kimkakati zaidi.

Stay Tuned.
Xhaka na pogba????
 
Back
Top Bottom