Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Forget about Mahrez joining Arsenal, Nadhani Mustafi na Bony watakuja ingawaje Bony is not my choice, hiyo investment siikubali, afadhali waongeze dau kumpata Lewandowski kuliko kumchukua mtu atakayeonekana flop after three matches.
 
Forget about Mahrez joining Arsenal, Nadhani Mustafi na Bony watakuja ingawaje Bony is not my choice, hiyo investment siikubali, afadhali waongeze dau kumpata Lewandowski kuliko kumchukua mtu atakayeonekana flop after three matches.
Lewandowski bei wataweza kitita cha +£80mill?
 
Investment ya $150m plus kwa Pogba!!!! hapana, hata muokota makopo atakubali he is overpriced. Sote tulimuona Italia na kwenye Euro 2016. wehu tu
Wenzio wanaangalia kesho yake siyo jana yake halafu walicholipa wanagawanya kwa miaka mitano na kuchungulia thamani ya mtaji wa kampuni imepanda au la.

Waliposhusha hayo mahesabu wakagundua hiyo ni bingo
 
Ondoa hofu atasajili vinginevyo asahau champions ligi msimu ujao.
AW haaminiki, lakini pia kipindi cha usajili sports pages nyingi zinaipa arsenal airtime sana. That's one thing I don't understand.
Lewandowski bei wataweza kitita cha +£80mill?
Wanashindwa kuchukua wachezaji wa £35mil - £50mil wataweza wapi kwa mchezaji kama Lewandowski.
 
AW haaminiki, lakini pia kipindi cha usajili sports pages nyingi zinaipa arsenal airtime sana. That's one thing I don't understand.

Wanashindwa kuchukua wachezaji wa £35mil - £50mil wataweza wapi kwa mchezaji kama Lewandowski.
Ndo hapo AW anadai aogopa siku ya kustaafu lakini atakaposhindwa kuingia nne bora msimu huu ndio atajua karaha kutupiwa virago vyake
 
Forget about Mahrez joining Arsenal, Nadhani Mustafi na Bony watakuja ingawaje Bony is not my choice, hiyo investment siikubali, afadhali waongeze dau kumpata Lewandowski kuliko kumchukua mtu atakayeonekana flop after three matches.

Uyo Lewandowski ni ndoto za mchana maana Rummy aliwaambia Madrid watafute mchezaji mwingine maana jamaa HAUZWI,hizi biashara za jioni ni mbaya sana maana wakijua una shida unabambikiwa tu AW alijua mapema ana shida ya striker akawa anambwela ngoja ajikaange na mafuta yake.
 
Wenzio wanaangalia kesho yake siyo jana yake halafu walicholipa wanagawanya kwa miaka mitano na kuchungulia thamani ya mtaji wa kampuni imepanda au la.

Waliposhusha hayo mahesabu wakagundua hiyo ni bingo

Miongoni mwa timu zilizowekeza sana kununua wachezaji last season ni ManCity, Chelsea na ManU. hebu nikumbushe ziliishia wapi kwenye table mwisho wa msimu?
 
Miongoni mwa timu zilizowekeza sana kununua wachezaji last season ni ManCity, Chelsea na ManU. hebu nikumbushe ziliishia wapi kwenye table mwisho wa msimu?

Pesa yoyote kama si yako huwa huwa shida ya kuitumia.

Lakini kama inatokana na mpango wa biashara yako unalipa, basi huwa unakuwa mwangalifu na matumizi.

Ndiyo maana Arsenal wakamsajili Mesut Ozil kwa £42m, Alexis Sanchez kwa £35m na Xhaka kwa £35M

Arsenal wanao uwezo wa kutumia pesa waliyo nayo (waliyoitengeneza wao) kwenye akaunti lakini -responsibly.
 
Back
Top Bottom