Sisi kufungwa na hyo timu bado haibadilishi uhalisia kuwa mmedroo na hull city Emirates,
Usitumie ubovu wa mwenzio kuwa kama ndio excuses, you told us dat you are a tittle contender, you have to act lyk a real tittle contender, utd kwa sasa hatuna cha kupoteza, no tittle, even top four am sure we can not make it, kwa ushauri wangu acha kujifariji na matokeo na utd au Chelsea.
Hii game itakua na replay kitu ambacho kinawaongezea idadi ya mechi kuwa nyingi tofauti na mnao compete nao kwenye mbio za ubingwa, kumbuka Leicester hayupo FA wala uefa ye anafocus kwenye premier tu, man city ye anakikosi kipana na chenye uwezo kuwazidi nyie, hata back up zao zinaweza kuanza kwenye timu yyte EPL, in short wana squard mbili tofauti na nyie kwenye back up utawakuta akina Gibbs
Hii game ilikua bora mpoteze ( kama kweli mnataka kukomaa na EPL) kuliko kuwa na replay ambayo ni kama obstacle kwenye race yenu ya ubingwa, ndani ya siku 26 mtakua na mechi 8, huoni kama ni tatzo hilo bro?
Barcelona (H)
Man United (A)
Swansea (H )
Spurs (A)
Hull (A)FA Cup replay
WBA (A)
Barcelona (A)
Everton (A)
Usijifariji kwa mwendo wa kiwete, ukikutana na mzima mwenzio utaumbuka.