Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Na inavyoelekea mwaka huu nao kama kawa tunatoka mikono mitupu, sina hakika kama msimu ujao tutacheza hata UEFA ndogo.... FA ndo hii tunatoka, UEFA tunasubiri kuondoka officially, EPL ndo hivyo tena... Jamani huyu mzee ataondoka lini Arsenal?
 
Hamna jinsi lazima wapigwe tu
24a0242472a0664e4fc1b485294b6443.jpg
 
If I were Arsenal manager, I'd sell half these players. Bunch of lazy, heartless, overpaid prima donnas.
Disgrace to the shirt. #afc
Kutoka kwa mmoja wa shabiki wa Goons maarufu, Piers Morgan.
 
FT
Arsenal 1-2 Watford
Rasmi FA holders wametolewa tena tukiwa nyumbani Emirates,tumecheza game nyepesi sana tumestahili kuondolewa.
 
FT
Arsenal 1-2 Watford
Rasmi FA holders wametolewa tena tukiwa nyumbani Emirates,tumecheza game nyepesi sana tumestahili kuondolewa.
Vipi, umeshaweka matanga? Naona msiba mtauhani wenyewe tu...siye twaenda kugodoreka OT..
 
FT
Arsenal 1-2 Watford
Rasmi FA holders wametolewa tena tukiwa nyumbani Emirates,tumecheza game nyepesi sana tumestahili kuondolewa.
Ndugu, usitegemee kipya kwa Wenger, LAZIMA atoke kwanza, mi nasali mambo yawe mabaya zaidi. Maana angeshinda hiki kikombe watu wangedhani ana kikosi kizuri au wenger ni bonge la kocha, NIMEFURAHI, sasa naomba top 4 tuikose!
 
If I were Arsenal manager, I'd sell half these players. Bunch of lazy, heartless, overpaid prima donnas.
Disgrace to the shirt. #afc
Kutoka kwa mmoja wa shabiki wa Goons maarufu, Piers Morgan.
Naunga mkono hoja. Pier Morgan amesema kweli tu, amemfanyia haki Wenger kwa kujua wachezaji ndio wanafanya uchovu uwanjani. Kwa kweli wachezaji wanamwangusha sana Mr. Bean. Nafasi ambazo walizipoteza kipindi cha kwanza na kushindwa kutangulia kufunga uwanja wa nyumbani ni kununua "kushindwa".

Haya matokeo yatazidi kumpoteza Wacha1.
Nafasi ya nne ina wagombeaji wengi msimu huu, natumai "wenye jukwaa" wanaelewa hili.

Kipigo cha leo, Arsenal wamekinunua kwa uvivu wao na umaliziaji wao.
Bhana eee, lile bao la pili la Watford lazima liliwapa Arsenal kupooza miguu. Bonge la bao.

Msimu unaisha kwenye kabati la Wenger imebakia ngao tu, "community shield".
Je Wenger anabaki salama? Au wachezaji wanaotaka mafanikio watahama mji?

Wapigwe tu,hamna namna.

Barcelona wanafanya mazoezi ili iwazawadie wachovu kila mmoja bao moja.
 
If I were Arsenal manager, I'd sell half these players. Bunch of lazy, heartless, overpaid prima donnas.
Disgrace to the shirt. #afc
Kutoka kwa mmoja wa shabiki wa Goons maarufu, Piers Morgan.

Ni kuanza na Wenger kwanza, kisha waingereza wote na wafaransa wote!
 
Back
Top Bottom