Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahaaaaaaa
1455991604931.jpg
 
Mmeshindwa kuwafunga hull city emirates,

Msijali mtaenda kumalizia hasira zenu kwa Barcelona.
ImageUploadedByJamiiForums1455996037.333335.jpg

Siku hizi mnasahau haraka matatizo yenu ngoja nikukumbushe umegongwa back to back arifu kaa chini tibu ugonjwa wako kurukaruka hakutokusaidia.
ImageUploadedByJamiiForums1455996202.924752.jpg
 
View attachment 324481
Siku hizi mnasahau haraka matatizo yenu ngoja nikukumbushe umegongwa back to back arifu kaa chini tibu ugonjwa wako kurukaruka hakutokusaidia.View attachment 324483
Sisi kufungwa na hyo timu bado haibadilishi uhalisia kuwa mmedroo na hull city Emirates,

Usitumie ubovu wa mwenzio kuwa kama ndio excuses, you told us dat you are a tittle contender, you have to act lyk a real tittle contender, utd kwa sasa hatuna cha kupoteza, no tittle, even top four am sure we can not make it, kwa ushauri wangu acha kujifariji na matokeo na utd au Chelsea.

Hii game itakua na replay kitu ambacho kinawaongezea idadi ya mechi kuwa nyingi tofauti na mnao compete nao kwenye mbio za ubingwa, kumbuka Leicester hayupo FA wala uefa ye anafocus kwenye premier tu, man city ye anakikosi kipana na chenye uwezo kuwazidi nyie, hata back up zao zinaweza kuanza kwenye timu yyte EPL, in short wana squard mbili tofauti na nyie kwenye back up utawakuta akina Gibbs

Hii game ilikua bora mpoteze ( kama kweli mnataka kukomaa na EPL) kuliko kuwa na replay ambayo ni kama obstacle kwenye race yenu ya ubingwa, ndani ya siku 26 mtakua na mechi 8, huoni kama ni tatzo hilo bro?

Barcelona (H)
Man United (A)
Swansea (H )
Spurs (A)
Hull (A)FA Cup replay
WBA (A)
Barcelona (A)
Everton (A)

Usijifariji kwa mwendo wa kiwete, ukikutana na mzima mwenzio utaumbuka.
 
Sisi kufungwa na hyo timu bado haibadilishi uhalisia kuwa mmedroo na hull city Emirates,

Usitumie ubovu wa mwenzio kuwa kama ndio excuses, you told us dat you are a tittle contender, you have to act lyk a real tittle contender, utd kwa sasa hatuna cha kupoteza, no tittle, even top four am sure we can not make it, kwa ushauri wangu acha kujifariji na matokeo na utd au Chelsea.

Hii game itakua na replay kitu ambacho kinawaongezea idadi ya mechi kuwa nyingi tofauti na mnao compete nao kwenye mbio za ubingwa, kumbuka Leicester hayupo FA wala uefa ye anafocus kwenye premier tu, man city ye anakikosi kipana na chenye uwezo kuwazidi nyie, hata back up zao zinaweza kuanza kwenye timu yyte EPL, in short wana squard mbili tofauti na nyie kwenye back up utawakuta akina Gibbs

Hii game ilikua bora mpoteze ( kama kweli mnataka kukomaa na EPL) kuliko kuwa na replay ambayo ni kama obstacle kwenye race yenu ya ubingwa, ndani ya siku 26 mtakua na mechi 8, huoni kama ni tatzo hilo bro?

Barcelona (H)
Man United (A)
Swansea (H )
Spurs (A)
Hull (A)FA Cup replay
WBA (A)
Barcelona (A)
Everton (A)

Usijifariji kwa mwendo wa kiwete, ukikutana na mzima mwenzio utaumbuka.
Duh imebidi nicheke tu,hao ambao wanaongoza ligi na hawana mechi nyingi tuna tofauti ya 2 points,na hao wanaotufata wenye kikosi kipana tofauti na sisi ambao tuna akina Gibbs K tuna tofauti ya 4 points sioni sababu ya kupiga yowe kua second leg na Hull City ndio iwe chanzo cha udhaifu wetu once inapotokea ivyo unavyoita vikwazo Manager anajua anajipanga vipi so simply huo unaouona mzigo uache mabegani mwa Arsenal wata deal nao,hapo walipo haujui walifikaje maana juzi tu mlipiga kelele kabla ya mechi ya Leicester City ila leo hao wenye kikosi kidogo wapo hapo wanajua wao walifikaje.
Hauitaji kufikiria mzigo wa Arsenal maana alipo hata wewe unaweza kufika bado kuna game mkononi ni vema mkianza nyinyi kuonyesha kua mnautaka ubingwa izi mboyoyo zenu tushazizoea na bado mnasubiri game na Barca muanze utabiri mpya mnajisahulisha kua mna fixture yenu pia,siamini na sitoamini kua kufeli kwa Arsenal kutatokana na game ya marudio na Hull City.
 
Duh imebidi nicheke tu,hao ambao wanaongoza ligi na hawana mechi nyingi tuna tofauti ya 2 points,na hao wanaotufata wenye kikosi kipana tofauti na sisi ambao tuna akina Gibbs K tuna tofauti ya 4 points sioni sababu ya kupiga yowe kua second leg na Hull City ndio iwe chanzo cha udhaifu wetu once inapotokea ivyo unavyoita vikwazo Manager anajua anajipanga vipi so simply huo unaouona mzigo uache mabegani mwa Arsenal wata deal nao,hapo walipo haujui walifikaje maana juzi tu mlipiga kelele kabla ya mechi ya Leicester City ila leo hao wenye kikosi kidogo wapo hapo wanajua wao walifikaje.
Hauitaji kufikiria mzigo wa Arsenal maana alipo hata wewe unaweza kufika bado kuna game mkononi ni vema mkianza nyinyi kuonyesha kua mnautaka ubingwa izi mboyoyo zenu tushazizoea na bado mnasubiri game na Barca muanze utabiri mpya mnajisahulisha kua mna fixture yenu pia,siamini na sitoamini kua kufeli kwa Arsenal kutatokana na game ya marudio na Hull City.
Na vipi kuhusu kufeli kuchukua EPL kwa miaka 10+, shida iko wapi?
 
You are heading there....Mna 3 years now

endelea kuhesabu mwakani mwaka wa 4 mtakuja shtuka 6,7,8

Be calm and watch this space
Ok, you should wait until we reach were u expect us to be.
 
ingekuwa in mamlaka yangu singizi timu uwanjani icheze na barca nikutiana aibu tu
 
Na vipi kuhusu kufeli kuchukua EPL kwa miaka 10+, shida iko wapi?
Haaaa haaaa nilijua lazima ufike uko maana ndio dawa ya hangover yako,karibu sana kwenye hiyo situation najua unajua kua umeingia rasmi na wewe unahesabu misimu,atleast nimechukya FA back to back na leo namiliki ball namba 7 kwenye draw ya FA alhamdullilah nashukuru kile kicheko chenu kua top 4 ndio kombe letu hamuwezi kucheka tena maana mna hustle na top 4 kama mgumba na kupata mtoto.
 
ImageUploadedByJamiiForums1456080386.629354.jpg

Mzigo wa raundi ya 6 huu hapa tukitoboa machi bado itakua sio ngumu kwetu
 
THIERRY HENRY'S ANALYSIS ON
HOW ARSENAL CAN BEAT BARCELONA

__________

They have to accept they will probably only have 30 per cent possession and must be so efficient when they do get the ball,” he wrote in his column for The Sun.

“The whole team must defend more as a unit and the wingers must tuck in and play more in their own half.

“You very rarely get the chance to play against Barcelona so you must be prepared to sacrifice parts of your attacking game, home and away.

“Arsenal must be brave on the ball. They need to stay compact, play on the counter and score every time they get in their penalty area.

“They can’t be exposed in the middle and must force Barcelona to run back 60 yards before they get the ball. If you allow them to stay in your half for wave after wave, it becomes almost impossible to defend.”
 
Back
Top Bottom