Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Wenger amemnunua DM Mohamed Elney na anampiga benchNafikiri malengo yapo kwenye ligi na FA Cup.
Lakini Wenger angesajili DM na hili wazo nililisema mwezi Juni mwaka jana. Coquelin hawezi kucheza high pressing game bado mdogo.
Goli la kwanza walimwacha Coquelin akabiliane na the world best player kwenye counter attack ya MNS hio ni suicidal.
Goli la pili ni same old mistakes Flamini si mwepesi na option alokuwa nayo ni kupiga kiatu.