Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Kinachofuata Camp Nou tutakwenda kupigiwa mpira mwingi na magoli ya kebehi. Eeh Mwenyezi Mungu tusaidie.
Kinachofuata Camp Nou tutakwenda kupigiwa mpira mwingi na magoli ya kebehi. Eeh Mwenyezi Mungu tusaidie.
Duuh! Hii kali yani bora man U kwa lipi sijui😀🙁😀😀bora cc Man Utd kuliko hawa wenzetu wa mtaa wa pili.. polen watani
Watu wa manure wasikupe shida Furaha ishakosekana kwa timu yaoDuuh! Hii kali yani bora man U kwa lipi sijui😀🙁😀😀
Bahati mbaya hujui kwamba baca uingereza nzima wanaiogopa chelsea peke yake hata kama chelsea wawe wabovu kiasi gani baka lazma apigwe tuHahahaaaa wachekesha kibangaaa....kuifunga man city 4 ndio mmejiona mpo juu wakati mastaa wengi cku iyo hawakuemo, Aguero,toure,silva,raheem,de brune nk..... VIVA BARCA weka mbali na watoto
Wale tunawapiga kama mbwa mwizi baka kitu gani?Mtaingia kwenye hiyo historia soon.
Arsenal hii hii ambayo mmoja wenu few posts nyuma kasema inabidi mnunue DM??!!! Kweli mna short memoryNimeipenda hiyo you have nothing to loose
LVG anasema Top for still ni possible kabisa....
Hizo fixture zio issue kuna depth ya kutosha kudeal nayo Arsenal sio Lester kuwa kikosi ni watu 11 tu...
We subiria sindano ya MOTO hakuna jinsi ya kuelewa tofauti na DefeatArsenal hii hii ambayo mmoja wenu few posts nyuma kasema inabidi mnunue DM??!!! Kweli mna short memory
Depth ya kutosha anatoka Giroud anaingia Danny Welbeck vs Barcelona?!! Who are you kidding? Hao Leicester mnapiga kelele leo wakati in reality red card ndio ilisaidia kuwafunga. Arsenal ni ile ile......mtaisoma namba!
Msichokijua ti,u yenu ni so avaerage kama timu zingine tu za EPLWe subiria sindano ya MOTO hakuna jinsi ya kuelewa tofauti na Defeat
aliyesema DM kwa hakika kavurugwa na kipigo na si kila wazo la shabiki analosema liko sahihi
maana DM kashanunuliwa Mohamemd Elnenny hatujui kwanini hakuwa hata bench ila Yuko
DEPTH iko ya kutosha YEEAH we ndo unawaza hayo sio tunakunywa juice baridii tunasubiria Kukupa za Uso
ni kweli ndo maana we are 10 points above your teamMsichokijua ti,u yenu ni so avaerage kama timu zingine tu za EPL
Very funny....10pts ahead, just 4 games ahead and still more than 10 games to go thats why we are fifth, three places below you!ni kweli ndo maana we are 10 points above your team
and Two points below league leaders
if arsenal is average among EPL teams your team will be super mediocre
You will never catch a team with 10 points ahead of you from FEBRUARY may we ni mgeni wa EPL, tena mbaya zaidi timu lako BovuuVery funny....10pts ahead, just 4 games haead and still more than 10 games to thats why we are fifth, three places below you!
Aisee mimi ni mgeni na EPL....ila wewe mwenyeji ngoja nikukumbushe man utd alishakata gap ya point zaidi ya kumi kwa arsenal na newcastle wakachukua ubingwa....sikumbuki mwaka.You will never catch a team with 10 points ahead of you from FEBRUARY may we ni mgeni wa EPL, tena mbaya zaidi timu lako Bovuu
Komaa na WEST HAM, LIVERPOOL, SOUTHAMPTON hawa uko nao level moja you may finish above them
Kweli we mgeni you need to learn more and more ....Newcastle ubingwa kaubeba hata we hata hujafikiriwa kuzaliwa...so hiyo kitu umechemkaAisee mimi ni mgeni na EPL....ila wewe mwenyeji ngoja nikukumbushe man utd alishakata gap ya point zaidi ya kumi kwa arsenal na newcastle wakachukua ubingwa....sikumbuki mwaka.
Hujaelewa...nimekwambia man utd kashawahi kukata gap ya point 10 kwa arsenal na newcastle( man utd wakachukua ubingwa). Soma uelewe post kablaKweli we mgeni you need to learn more and more ....Newcastle ubingwa kaubeba hata we hata hujafikiriwa kuzaliwa...so hiyo kitu umechemka
1926-1927 ndo last time walichukua Ndoo
But sio ya LVGHujaelewa...nimekwambia man utd kashawahi kukata gap ya point 10 kwa arsenal na newcastle( man utd wakachukua ubingwa)
Kuna mwenzio alikuwa anapenda huo msema....sasa hivi kapotea jukwaani kwao!But sio ya LVG
"mind the Gap" buddy
Yule ni glory hunter usikute saivi kahamia lesterKuna mwenzio alikuwa anapenda huo msema....sasa hivi kapotea jukwaani kwao!
Ndio kilichobaki saizi, wenzenu wanafurahia kuchukua EPL nyie mnafurahia kumaliza above utdYou will never catch a team with 10 points ahead of you from FEBRUARY may we ni mgeni wa EPL, tena mbaya zaidi timu lako Bovuu
Komaa na WEST HAM, LIVERPOOL, SOUTHAMPTON hawa uko nao level moja you may finish above them