khe khe khe khe khe khe khe watu mna maneno! kuna mwenzio eti anasema hawasafirishi msiba wanazika hapa hapa kwahio tupige kambi........
umenichekesha mkuuSasa mi nasemaje sitaki maneno mengi barcelona kesho anafungwa mwenye mzigo aweke mezani elfu 50 kwa elfu 50 kama.uwezi kaa mbali ila masharti ni haya goli za penati haziesabiwi na wala timu moja ikishapewa kadi nyekundu pia haiesabiwi yaani kila timu itimie na penati zisiwepo namba yangu hyo 0766047815
messi messi neymar rakitich busquet suarez suarez iniesta suarez iniesta messi messi skiping past one two three arsenal defender and meeeeeeesssiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 4-0!!!!!!!!!!!!!Mkuu RRONDO usiondoke tupige kambi hapa hapa maanamgonjwa amebakisha masaa machache akate KAULI,
TUnasubiri tuzike hapa hapa na JAMVI hatuanui mpaka 40 pia tutakuwepo humu!
kwa taarifa MSN wametua salama london right now....
RIP ARSENAL!
Ahahahahahahahahahahahahahahahahahaha!!!!Haya ni yale ya Nyerereee....wanasema hajafa ilhali wanaanda kaburi.
Mi sisemi lakini.
Brilliant from Messsiiiiiiii!!!!!messi messi neymar rakitich busquet suarez suarez iniesta suarez iniesta messi messi skiping past one two three arsenal defender and meeeeeeesssiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 4-0!!!!!!!!!!!!!
Mark my words kesho utakuwa dis appointed with your barca....Brilliant from Messsiiiiiiii!!!!!
Tunaingiza full kikosi. Wala hapana mashaka. Hutaamini kama ndio barcelona unayoijua wewe. Ni kichapo tu....Kesho mna majeruhi au wote ni wazima?
Unaongea kiuhalisia au kwa kuwa una mapenzi na Arsenal?Tunaingiza full kikosi. Wala hapana mashaka. Hutaamini kama ndio barcelona unayoijua wewe. Ni kichapo tu....
Pamoja Mkuu, kesho tuishabikie Barca.Duh waungwana mmepiga kambi nyumbani kwetu mapema sana mpaka siamini aseeeee,ila wengi wenu mmekosa faraja na amani uko kwenu inabidi muunde undugu hata wa mbali na Barca nakumbuka mlijibebisha kwa Leicester City mkaangukia pua sasa mmehamia uku duh karibuni sana na nawahaidi mimi binafsi nitakua nanyi mpaka mwisho wa mtihani huu.
Kaka, natembea na takwimu pia na hali halisia ya kikosi cha ArsenalUnaongea kiuhalisia au kwa kuwa una mapenzi na Arsenal?
Una beki gani zinazokupa Jeuri Mkuu?Kaka, natembea na takwimu pia na hali halisia ya kikosi cha Arsenal
Arsenal record at Emirates vs Barcelona:Una beki gani zinazokupa Jeuri Mkuu?