pole best angu....FT
Arsenal 0-2 Barca
Turudishe nguvu EPL tunaweza ku-achive kitu simply second leg imemalizwa leo,nice display for both teams.
L
I
O
N
E
L
M
E
S
S
I
N
I
N
Y
O
K
O
S
A
N
A
ArsayNO The Mandaz mtakuwa wasindikizaji tu wa UEFA hadi siku mgundue Prof Wengewenge ana undugu na Mr Bean
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Stupid Arsenal. You can't just defend and enter [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] quarter final. You need to score goals too.
Nafikiri sisi ndo timu pekee WE MEVER LEARN FROM OUR PAST MANY MISTAKES!Mkuu, usiwe arrogant hivyo.
Ukisema hivyo (stupid Arsenal) unakosea, hii ni game, art na ufundi.
Ni mbinu za mchezo, goli la kwanza ni kosa la high pressing na tukafungwa kwa counter attack, hio ni level ingine kabisa.
Goli la pili ni individual error ambayo beki yoyote anaweza akafanya.
Hivyo ndivyo mpira ulivyo na Barca wameshinda kwa ubora wa MNS wao lakini tuliwabana kwa dakika 70.
Mi ni Arsenal ila tuwe wakweli, Arsenal ni AVERAGE TEAM NA CHINI YA WENGER WE WILL NEVER EVER WIN UCL, nina wasi wasi kama atakuja shinda tena EPL.
Yuko tactically naive ktk modern game, very predictable! Hata Jamhuri Kiwelu wa Mwadui akowa anacheza nae, atalala usingizi mzuri tu maana anajua mipango ya Wenger ni one dimensional!