Wenzako wameshakimbia tayariLigi mechi 38 ndipo mshindi atapatikana mtakimbia hapa
Mmmh hii mechi inanipa presha kwa kweliHivi mnakumbuka mna game na barca
Uvunguni kufuata nini?? Tupo tunatunga sheria
Mmmh hii mechi inanipa presha kwa kweli
Mkuu huyu dogo Alli ni fundi aiseeAisee...
![]()
Pray for barca and msnMSN this season:
Suarez 35 goals
Messi 24 goals
Neymar 21 goals
Assnail vs Barcelona in 19 days.
PRAY FOR ASSNAIL
Hio game mmmhhMmmh hii mechi inanipa presha kwa kweli
Nakuaminia kwa mautabiri yako....Mmmh hii mechi inanipa presha kwa kweli
Naona mme take over thread....wenyeji wako mafichoniNakuaminia kwa mautabiri yako....
Mambo yanapokuwa vibaya mnakuwa na visingizio vitamu...khe khe khe khe kheManchester United na Chelsea fans mmepata muda wa kuchenua vinywa. Nilisema ligi ilikuwa bado mbichi na narudia bado mbichi. Mechi mbili, tatu patakuwa na mabadiliko mengine katika kinyang'anyiro hiki. For your information, SIJAKIMBIA JUKWAA. nipo busy na personal stuffs, mambo yakiwa sawa nitajumuika na #mburukenge wote wa Manchester United na Chelsea mliopata muda wa kucheka.
khe khe khe khe khe khe mara nyingi tunakuwa busy na personal stuffs tukipata vipigo......wengi tu wapo busy na personal stuffs!! DING DONGManchester United na Chelsea fans mmepata muda wa kuchenua vinywa. Nilisema ligi ilikuwa bado mbichi na narudia bado mbichi. Mechi mbili, tatu patakuwa na mabadiliko mengine katika kinyang'anyiro hiki. For your information, SIJAKIMBIA JUKWAA. nipo busy na personal stuffs, mambo yakiwa sawa nitajumuika na #mburukenge wote wa Manchester United na Chelsea mliopata muda wa kucheka.
wakuu msijali kabisa, tarehe 24 ntawatumia video ya Piers akifanya naked conga.....kutakuwa na mapicha pia ya kutosha (sponsored by Wacha1) yatakayopeperusha mburukenge wote humu
Naweka kumbukumbu kwa matumizi ya baadae.huyo barca atatandikwa vizuri tu...