Shuleless
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 4,972
- 6,245
Wenger yupo sawa, tatizo la gunners tuna players mediocre. Akina Ramsey, Walcott, Oxlade, wilshere hawa wote ni overhyped na far from world class na timu nzima kwa ujumla. Wachezaji wa arsenal hawana soul, passion hata fighting spirit in them wao despite kulipwa mishahara mikubwa still approach yao kwenye gemu ni kama wanacheza charity matches.... Inaboa sana.
Hata hivyo bado tupo kwenye race mechi ijayo tutapunguza gepu to 3 points au 4 kwa 1 kulingana na matokeo ya Leicester na Man City. Tusife moyo na hiyo schedule. Effort kubwa timu ihamishie kwenye EPL, CL tusiiwazie sana uwezo bado mdogo.
Hata hivyo bado tupo kwenye race mechi ijayo tutapunguza gepu to 3 points au 4 kwa 1 kulingana na matokeo ya Leicester na Man City. Tusife moyo na hiyo schedule. Effort kubwa timu ihamishie kwenye EPL, CL tusiiwazie sana uwezo bado mdogo.